Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana huyo alikuwa mgombea mwenza wa Lowasahivi kumbe huyu Mzee ndio alikuga Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi eee🐒
kidogo nimsahau aise,
kitambo sana nilikutanaga nae kwenye daladala Gongolamboto bana dah 🐒
R.I.P Laigwanan comrade EL
Mbona waliomteua walim........tezaHayo hayana uthibitisho ni chai kama zilivyo Chai nyingine, ila hakika ni kuwa kupitia uchaguzi wa 2015 tulishuhudia kupata mmojawapo wa Rais Bora zaidi kuwahi kumpata kwenye historia ya nchi hii tokea uhuru na atasalia kudumu hivyo kwa vizazi vingi vijavyo
NakaziaCCM ni laana
HakikaMalipo ni hapahapa duniani. Hao watu watatu walioshiriki kuchakachua matokeo kila mmoja alikiona cha mtema kuni kutoka kwa waliyemchakachulia matokeo.
Hahahahaha..Pole sanaUmechelewa kunijua, mimi ni Team Lowassa 2015, huu ni msiba mkubwa kwangu.
Angekua ndio rais saa hz anajiandaa kuapishwaBabu Duni kaongea ukweli mtupu.
mkuu habari za GeitaHayo hayana uthibitisho ni chai kama zilivyo Chai nyingine, ila hakika ni kuwa kupitia uchaguzi wa 2015 tulishuhudia kupata mmojawapo wa Rais Bora zaidi kuwahi kumpata kwenye historia ya nchi hii tokea uhuru na atasalia kudumu hivyo kwa vizazi vingi vijavyo
Mkuu wewe kila kitu unacheka? DuhHahahahaha..Pole sana
Pole sanaMkuu wewe kila kitu unacheka? Duh
ulikuwa na umri gani?Si kweli
Duuh ila nyie binadamu khaa, yeye mwenyewe alikubali yaishe nyie Bado mna ya ndwele mpaka Leo...You never let it go!
Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua
hata mimi yake mafuriko ya 2015 yalinikumba ilikuwa sio mchezo .Umechelewa kunijua, mimi ni Team Lowassa 2015, huu ni msiba mkubwa kwangu.
hivi kumbe huyu Mzee ndio alikuga Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi eee🐒
kidogo nimsahau aise,
kitambo sana nilikutanaga nae kwenye daladala Gongolamboto bana dah 🐒
R.I.P Laigwanan comrade EL
Ndio maana ake mkuuSo Babu angekuwa Mkuu wa Nji sasa hivi?
Shida nini nyumbu tena? Bado hamumtambui samia kuwa nu rais?
Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua