Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Walishaachana na kumove on hao.Baada ya Rotimi kuchafua hali ya hewa huko Insta hatimaye dua za Jux zimekua dua za Kuku, kiukweli wengi hawakutaraji na hata Jux mwenyewe alijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walishaachana na kumove on hao.Baada ya Rotimi kuchafua hali ya hewa huko Insta hatimaye dua za Jux zimekua dua za Kuku, kiukweli wengi hawakutaraji na hata Jux mwenyewe alijua
Kwani imekuwaje?Jux haamini chezo alilochezewa
How sure kama jamaa alipiga!!..unajua wasanii wetu wewe?;;Mabaharia tunaumiaga Kwa mwanamke ambae hatujapiga tuu.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yani demu ambae hujapiga anaumiza Sana akikuacha yani unakuwa unajiuliza hivi Yuko na mbususu ya Aina Gani.. hahahahhh
Kwani wewe ndio Fatuma DomoMahusiano jambo complicated sana....
Watu mnaweza kudhani Jux kuachana na Vanessa kaumia, kumbe yeye ndio kashusha mzigo mzito
Mlamba lips naskia sini GashowV amefanya Jambo la Maana ,Mlamba lips alikuwa alikuwa anamfuja Sister V Money.
Unapenda vitaMlamba lips naskia sini Gashow
Mlamba lips naskia sini Gashow
Eeh mbeeKwamba ni Brand Chapa…..?[emoji276]
Mabaharia tunaumiaga Kwa mwanamke ambae hatujapiga tuu.. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yani demu ambae hujapiga anaumiza Sana akikuacha yani unakuwa unajiuliza hivi Yuko na mbususu ya Aina Gani.. hahahahhh
Ghorofa na mabenz white Yale kwa Muziki upi?Eeh mbee
Mi nawewe tunajiuliza je ni mauzo ya tshirt tu?Ghorofa na mabenz white Yale kwa Muziki upi?
Dogo ana hisa ile 5* hotel karibu na Ziwa Hindi. Babu Mkuu wa pale ndo sponsorMi nawewe tunajiuliza je ni mauzo ya tshirt tu?
Haya mambo mnayofanya , soon mtavishwa vijora vya 5000Mi nawewe tunajiuliza je ni mauzo ya tshirt tu?
Hotel ipi hio jamani? Kama ana hisa huko basi mambo ndio maana yanamuendea vyedi!Dogo ana hisa ile 5* hotel karibu na Ziwa Hindi
Nani sasa atakaenivisha huyo maana nae inabidi awe amekivaa kwanza😂Haya mambo mnayofanya , soon mtavishwa vijora vya 5000
Chapa nembo ya upinde wa mvuaKwamba ni Brand Chapa…..?[emoji276]