Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.
View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Look at you
Nawewe ni expert wa magari sio???
Unatuonyesha edition za outside tuners za RR afu unajustify ni za 2021
Wabongo hate is huuge?
Afu ulichozungushia sio grill wewe much know
Grill hio hapo juu
Hamna RR cullinan inatoka stock hiv wewe kuna outside tuners wanzinunua hizo RR kwa dealers afu ndo zinabadilishwa
Mfano wa hizo kampuni
Mansory
Brabus
Holman uliemuweka hapo juu
Gemballa(alishakufa)
Na Singer
Kuhusu kuagiza embu acha kua mpumbavu basi kila mtu angeenda kusubiri cullinan lake kiwandani mpaka leo wangeenda wangapi?
Hivi kwa akili nyepesi tu unahisi cristiano ronaldo akinunua gari anaenda kukaa kiwandani?
Magari yakitoka tu wenzetu huko ulaya ma dealers wanayanunua in bulk kwa mfano mia yanaenda u.k mia 200 usa and so on and so on sasa kama wewe una uwezo ndo unanunua kwa dealer au saa nyingine kunakua na matawi ya hayo magari kwenye nchi hizo ndo unanunulia hapo litaletwa mpaka kwenye hlo tawi
Mtafte mtu anaitwa manny khoshbin youtube ananunua high value cars koenigsegg jesko's na gemera's na yeye mwnywe ananunulia kwa dealers marekani
Yani mtu na pesa zake aanze kulifata gari mpaka kiwandani u.k kisa gari moja tu
Watu wenye mshiko hawana muda wa huu ujinga mkuu
Tuliza akili google vitu
Kua na knowledge navyo ndo ucomment
Sio kwamba sipiti huko jukwaa la siasa na intelligence hapana napita na kuna watu nawaona wanatema nondo
Hujiamkii tu huko ukakurupuka uanze kujibizana au kuongea famba ovyo ovyo bila knowledge
Kwa sisi ma petrol head tunasikitika sana
Eti nmeongea na rolls royce
Duude the guys make phantoms and boat tails as their expensive models for f sake cullinan ndio ni bei lakini kwao ni ordinary hawayapi muda kama boat tail yao inayouzwa sijui 28mil dollars moja
Cullinan kwao is just cheap change the dont even give an f if its dubai or goddamn taiwan