Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Juma Jux kanunua helikopta. Hii vita ya Juma Jux, Diamond Platnumz haiwezi

Jux anaishi life lake ila watu ndo wanataka kutengeneza hiyo league. Kwa upande wengu natamani tuwe hata na wasanii 10 wenye mafanikio kama Diamond au zaidi yake ili game iajiri na kuwapa space watu wengi zaidi
Tatizo ni wabongo sasa kwani wanataka tuwe na wasanii 10 wenye mafanikio basi......... Roho zetu ni nyeusi sana
 
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,

1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill

2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016

Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Mtag extrovet ndio mambo yake haya...
 
Tangu mmeanza kumtamkia kushuka angeshashuka zamani ni muda wake na kama ni ndago basi kaitumia Kali mno he is unstoppable msijijisumbue....
 
Ila tyson kakaza mpaka leo kawa tajiri tena na nasikia mkewe ndio mpango mzima mpaka jamaa kurudi tena kwenye utajiri....
Anauza bangi na kuandika simulizi
Usifurahi juu yanguuu... Niangukapo mimi.. Nitasimama tena...!!!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kushabikia na kuwa realistic, humu kuna wanao comment kiushabi na kuna wanao comment kutokana na uhalisia wa situation iliyopo.
Nadhani hivi vitu huendana na upeo wa akili ya mtu, mtu mwenye akili timamu hawezi kulinganisha mafanikio ya Sadala na mwanamuziki yoyote hapa Tanzania kuanzia waliopo mpaka waliopita.
Siyo kila mtu anakosoa mondi kisa kamzidi kuna watoto wa mabosi wenu humu mondi kibaka tuu
IMG_20210724_213043.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2021-07-24-11-42-10-28_2768c6f3dd71c987876b7b9730ce2453.jpg
    Screenshot_2021-07-24-11-42-10-28_2768c6f3dd71c987876b7b9730ce2453.jpg
    19.4 KB · Views: 1
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.

Kwani mwijaku unatakaje?
 
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,

1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill

2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016

Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800

Nmesoma quote zako za huko juu nkaona kama zimo
Ila hapa ndio umekuja kuvuluga
Afu kwanin unachagua quote za kujibu[emoji23][emoji23]
Ndugu yangu instagram wewe tafuta hera ule bia ulale
Haya mambo huyawezi
 
Hivi nyie mnaoishi ughaibuni mtujuze hivi hata watu wa huko kama wasanii wakinunua city vyao huwa wanatabia kama za kina diamond za kutangaza tangaza au hizi tabia ni za waafrica hususani wale waliokuwa maskini na wakapata utajiri
Kamuulize lily wyne
 
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.

Ngoja nikukumbushe utopolo uliwahi kuandika katika uzi wako mmoja hivi!
Tuone matapishi yako utayatumia kutawaza ai utayala...
IMG_7216.jpg
 
Siyo kila mtu anakosoa mondi kisa kamzidi kuna watoto wa mabosi wenu humu mondi kibaka tuuView attachment 1866727
Unateseka sana, ungejua huyo dogo simjui na nimeha Tz labda kabla hata hajazaliwa.
Issue hapa ni evil hearts, yaani watu wanaoumia na progress za watu. Hustler yoyote huwa ana appreciate hustles za wengine sasa pale wivu(au choyo kama wasemavyo Unguja) huwa zinakera hasa pale mtu anapokuwa amefikia point ya kuwa obsessed na hate. Ni kama back in the days unapita sehemu unakuta mtoto anaonewa bila sababu then unaingia kati kumkingia kifua.
Hizo fake chats haziwezi kuondoa ukweli ya kuwa he is the most successful Tz artist by far na si leo wala kesho atakuja kutokea japo wa kumkaribia.
We only live once, let's enjoy life to the fullest.
 
Hivi nyie mnaoishi ughaibuni mtujuze hivi hata watu wa huko kama wasanii wakinunua city vyao huwa wanatabia kama za kina diamond za kutangaza tangaza au hizi tabia ni za waafrica hususani wale waliokuwa maskini na wakapata utajiri
Yaani ndiyo watangaza na kupiga kelele, phot shoot na kurusha dollars huku wakichukuliwa videos.
Bongo hakuna anayeweza kufanya show-off kama za mbele hasa za blacks.
 
Elimu elimu elimu...dahhh...hiv ile helicopter unajua gharama yake...nchi yako tanzania tu hazifik hata10 kama ze
 
Tatizo ni wabongo sasa kwani wanataka tuwe na wasanii 10 wenye mafanikio basi......... Roho zetu ni nyeusi sana
tatizo hilo mkuu, hatuamini kuwa tunaweza kuwa na watu hata 10 juu pasipo kumshusha yoyote
 
Back
Top Bottom