EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Basi Inaonekana weusi ni asili yetu kulimbukaYaani ndiyo watangaza na kupiga kelele, phot shoot na kurusha dollars huku wakichukuliwa videos.
Bongo hakuna anayeweza kufanya show-off kama za mbele hasa za blacks.
Usiamini kila unachoambiwa ..hivi RR 0 km linashushwa na Meli kweli..nakumbuka marehemu Mfuruki alishusha Mercedes Benz 500 0 km enzi za Mkapa Gari lilishushwa terminal 1...Sasa RR kweli ndani ya container chakavu???hiiiiiiiiiiiYuko mbali mno, kifedha, ki investments, fan base, international recognition na strong management.
Usinilishe maneno, quote what I wrote. Sijazungumzia 0km, nimezungumzia gap alivyowaacha Tz artists kimaendeleo.Usiamini kila unachoambiwa ..hivi RR 0 km linashushwa na Meli kweli..nakumbuka marehemu Mfuruki alishusha Mercedes Benz 500 0 km enzi za Mkapa Gari lilishushwa terminal 1...Sasa RR kweli ndani ya container chakavu???hiiiiiiiiiii
Mmehamia kwenye makontena sasa😂😂..Nyie vijana fanyeni kazi mpate hela zenu msiwawekee vinyongo matajiri..Acheni ujinga hizi ni DNA za umaskini kabisa aiseeUsiamini kila unachoambiwa ..hivi RR 0 km linashushwa na Meli kweli..nakumbuka marehemu Mfuruki alishusha Mercedes Benz 500 0 km enzi za Mkapa Gari lilishushwa terminal 1...Sasa RR kweli ndani ya container chakavu???hiiiiiiiiiii
Kazi bado kubwa😂😂Mmehamia kwenye makontena sasa😂😂..Nyie vijana fanyeni kazi mpate hela zenu msiwawekee vinyongo matajiri..Acheni ujinga hizi ni DNA za umaskini kabisa aisee
Hapo na kamshahara kako ka laki4.5 swissport ukajiona umetanguliaa....15 years late mshahara umeongeza laki 3..mtoto wa Tandale anapush RR new model...hate him or love him mond is a true definition of a huslaUsiamini kila unachoambiwa ..hivi RR 0 km linashushwa na Meli kweli..nakumbuka marehemu Mfuruki alishusha Mercedes Benz 500 0 km enzi za Mkapa Gari lilishushwa terminal 1...Sasa RR kweli ndani ya container chakavu???hiiiiiiiiiii
Look at youDah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Mpaka rangi ya nguo ya ndani anajuaHabari za tajiri muulize masikini,atakuelezea kila kitu mpaka chakula anachokula
Pumbavu limekuja na pumba zake hata kuandika halijui nani atasoma huu upumbavu wako kuandika tuu hujui, eti brabus kuna majitu majinga humu ndani, brabus tangu lini ka tune Rolls Royce? Huo ushamba peleka kwa washamba wenzako. Yani nimejaribu kupitia pumba zako nikaishia kwenye brabus, hiyo mansory nimesha iongelea hapa before. Kwa taarifa yako brabus wanadili na mercedes tuu mshamba wewe.Look at you
Nawewe ni expert wa magari sio???
Unatuonyesha edition za outside tuners za RR afu unajustify ni za 2021
Wabongo hate is huuge?
Afu ulichozungushia sio grill wewe much know
Grill hio hapo juu
Hamna RR cullinan inatoka stock hiv wewe kuna outside tuners wanzinunua hizo RR kwa dealers afu ndo zinabadilishwa
Mfano wa hizo kampuni
Mansory
Brabus
Holman uliemuweka hapo juu
Gemballa(alishakufa)
Na Singer
Kuhusu kuagiza embu acha kua mpumbavu basi kila mtu angeenda kusubiri cullinan lake kiwandani mpaka leo wangeenda wangapi?
Hivi kwa akili nyepesi tu unahisi cristiano ronaldo akinunua gari anaenda kukaa kiwandani?
Magari yakitoka tu wenzetu huko ulaya ma dealers wanayanunua in bulk kwa mfano mia yanaenda u.k mia 200 usa and so on and so on sasa kama wewe una uwezo ndo unanunua kwa dealer au saa nyingine kunakua na matawi ya hayo magari kwenye nchi hizo ndo unanunulia hapo litaletwa mpaka kwenye hlo tawi
Mtafte mtu anaitwa manny khoshbin youtube ananunua high value cars koenigsegg jesko's na gemera's na yeye mwnywe ananunulia kwa dealers marekani
Yani mtu na pesa zake aanze kulifata gari mpaka kiwandani u.k kisa gari moja tu
Watu wenye mshiko hawana muda wa huu ujinga mkuu
Tuliza akili google vitu
Kua na knowledge navyo ndo ucomment
Sio kwamba sipiti huko jukwaa la siasa na intelligence hapana napita na kuna watu nawaona wanatema nondo
Hujiamkii tu huko ukakurupuka uanze kujibizana au kuongea famba ovyo ovyo bila knowledge
Kwa sisi ma petrol head tunasikitika sana
Eti nmeongea na rolls royce
Duude the guys make phantoms and boat tails as their expensive models for f sake cullinan ndio ni bei lakini kwao ni ordinary hawayapi muda kama boat tail yao inayouzwa sijui 28mil dollars moja
Cullinan kwao is just cheap change the dont even give an f if its dubai or goddamn taiwan
Tafuta hela kijana acha kulialia humuPumbavu limekuja na pumba zake hata kuandika halijui nani atasoma huu upumbavu wako kuandika tuu hujui, eti brabus kuna majitu majinga humu ndani, brabus tangu lini ka tune Rolls Royce? Huo ushamba peleka kwa washamba wenzako. Yani nimejaribu kupitia pumba zako nikaishia kwenye brabus, hiyo mansory nimesha iongelea hapa before. Kwa taarifa yako brabus wanadili na mercedes tuu mshamba wewe.
HakikaNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
ww hata utuakane vipi watu, ila ukweli utabaki pale pale, kuwa Mondi is another level. And he is rich right now.Pumbavu limekuja na pumba zake hata kuandika halijui nani atasoma huu upumbavu wako kuandika tuu hujui, eti brabus kuna majitu majinga humu ndani, brabus tangu lini ka tune Rolls Royce? Huo ushamba peleka kwa washamba wenzako. Yani nimejaribu kupitia pumba zako nikaishia kwenye brabus, hiyo mansory nimesha iongelea hapa before. Kwa taarifa yako brabus wanadili na mercedes tuu mshamba wewe.
Umekunywa chai kijana.........Pumbavu limekuja na pumba zake hata kuandika halijui nani atasoma huu upumbavu wako kuandika tuu hujui, eti brabus kuna majitu majinga humu ndani, brabus tangu lini ka tune Rolls Royce? Huo ushamba peleka kwa washamba wenzako. Yani nimejaribu kupitia pumba zako nikaishia kwenye brabus, hiyo mansory nimesha iongelea hapa before. Kwa taarifa yako brabus wanadili na mercedes tuu mshamba wewe.
Ahahahaaaaa hatari sanaMpaka rangi ya nguo ya ndani anajua
Sasa umeona wewe unavokurupuka mzeePumbavu limekuja na pumba zake hata kuandika halijui nani atasoma huu upumbavu wako kuandika tuu hujui, eti brabus kuna majitu majinga humu ndani, brabus tangu lini ka tune Rolls Royce? Huo ushamba peleka kwa washamba wenzako. Yani nimejaribu kupitia pumba zako nikaishia kwenye brabus, hiyo mansory nimesha iongelea hapa before. Kwa taarifa yako brabus wanadili na mercedes tuu mshamba wewe.
Halafu alieleta mada hana hata ISTNi ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!