Wenzake wamepewa ngapingapi? Kama kapewa peke yake ni tatizo.
Mnafuatilia mpira nje ya bongo?huu ni upuuzi sasa inamaana kacheza peke yake.
ukosefu wa sifa za uongozi
Nyota wa mchezo au hujaelewa mkuu?huu ni upuuzi sasa inamaana kacheza peke yake.
ukosefu wa sifa za uongozi
TEAM WORKMnafuatilia mpira nje ya bongo?
Mchezaji hupewa zawadi kwa juhudi zake kisha yeye huwagawia wenzake kwakua hajacheza peke yake.
Ingawa pia kugawana na wenzie ni utashi wa mchezaji zaidi.
Weka mfano na picha, tuone Mo Salah akipokea fedha na baadae akazigawa kwa wenzake bwana castrationMnafuatilia mpira nje ya bongo?
Mchezaji hupewa zawadi kwa juhudi zake kisha yeye huwagawia wenzake kwakua hajacheza peke yake.
Ingawa pia kugawana na wenzie ni utashi wa mchezaji zaidi.
Sasa wachezaji 22 akisema wagawane kuna kitu hapo meku[emoji13]Mnafuatilia mpira nje ya bongo?
Mchezaji hupewa zawadi kwa juhudi zake kisha yeye huwagawia wenzake kwakua hajacheza peke yake.
Ingawa pia kugawana na wenzie ni utashi wa mchezaji zaidi.
Ile shule ya bashiru haijaanza tu!??huu ni upuuzi sasa inamaana kacheza peke yake.
ukosefu wa sifa za uongozi
Hiyo angetoa kwa wote, kila mmoja angelamba angalau 250k.huu ni upuuzi sasa inamaana kacheza peke yake.
ukosefu wa sifa za uongozi
castration? Nikiamua kua level moja ya komed na wewe tutakaa humu?Weka mfano na picha, tuone Mo Salah akipokea fedha na baadae akazigawa kwa wenzake bwana castration
Hiyo sio kazi yake !Hii pesa ingejenga hata darasa 3 wanafunzi walio koromije wakasoma vizuri.
AKAWAFUNDISHE MAANA YA TEAM-WORK NA KAMA BASHITE ANA MAPENZI BINAFSI AMTAFUTE PRIVATEIle shule ya bashiru haijaanza tu!??