Major Paloma
Member
- Nov 6, 2019
- 56
- 48
😀😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anatoa viashirio kuwa anapenda kufanyiwa vitu fulani.Wajijenge vipi wakati mondi anajulikana mbahili. Juma nlimuona ni boya pale alivyosema bora abakwe kuliko kutoa password ya account yake ya instagram
Kwani ameomba nafasi akanyimwa ?Juma Lokole "wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu" wa Mitandao ya Kijamii JUMALOKOLE Anasema Kuwa Diamond hachezei wanawake bali wanajichezea wenyewe...
Wanakimbilia kupata Mimba wakijua ndio Mondi Atawapenda Milele , Yaani Badala ya kuhakikisha wanajijenga Kupitia jina la Diamond na kusaidia ndugu zao Wenyewe wanakimbilia Kutundikwa Mimba, Wakiachwa wanaanza kutafuta huruma za Wananchi....
View attachment 1376495
Hii nilibaki najiuliza huyu designer mbona hivii kumbee nae anasaidia majukumu 😤 kweli mji mzito huu.Khaaaaaaaaaaaaah Huyu nae kiswaswadu akae kimyaaaaaaa, mbona yeye bahati hiyo ameipata na sioni akibadilika, na saivi atajiju bahati imetua kwa designer, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiih mji mzito huuuuuuh, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema yeye Juma Lokole hawezi kupata mimba, Diamond anamzibua mtaro tu
Shangaa sasaMbona hio bahati kaipata miaka nenda rudi bado tu yupo pale pale.
#nyumbandogojeuri
MwehKhaaaaaaaaaaaaah Huyu nae kiswaswadu akae kimyaaaaaaa, mbona yeye bahati hiyo ameipata na sioni akibadilika, na saivi atajiju bahati imetua kwa designer, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiih mji mzito huuuuuuh, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wifi yake esma
Chezea weyeeeeeeeeeh lol designer ndo baby mamaah wa boss Dangote now, na anawapanga folen khaaaaaaaaaaaaah,Hii nilibaki najiuliza huyu designer mbona hivii kumbee nae anasaidia majukumu [emoji36] kweli mji mzito huu.