mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeee nani uyo Ally ama??Khaaaaaaaaaaaaah Huyu nae kiswaswadu akae kimyaaaaaaa, mbona yeye bahati hiyo ameipata na sioni akibadilika, na saivi atajiju bahati imetua kwa designer, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiih mji mzito huuuuuuh, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila nasibu bwanaa, asa pale ndio anaona raha gani😤😤, mi mpaka sasa najiuliza ukaribu wao ulianza anza vipii🤔Chezea weyeeeeeeeeeh lol designer ndo baby mamaah wa boss Dangote now, na anawapanga folen khaaaaaaaaaaaaah,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nashangaa.Ila nasibu bwanaa, asa pale ndio anaona raha gani😤😤, mi mpaka sasa najiuliza ukaribu wao ulianza anza vipii🤔
Ulianzia tangu designer yuko chuoIla nasibu bwanaa, asa pale ndio anaona raha gani[emoji36][emoji36], mi mpaka sasa najiuliza ukaribu wao ulianza anza vipii[emoji848]
Noma sana!Mi nipo nyuma mno...sijui ndo uzee au nimebanwa na majukumu...maanake hata yanayoendelea huko mtaa wa jirani siyajui..eti designer...huyu ndo nani tena...kwani domo kashamtema baby mama wake tena...mbona mambo mazito haya..kwani mtoto ametimiza hata mwaka...na ile ndoa imekwamia wapi tena...
Kwani Juma ukoko ni shoga ?????mambo mengi mda mchache...mahitaji mengi pesa hamna...
Nyege nyingi ukimwi kama wa hela yote mtaani...na wazae tu walau tuongezeke ili tukianza kufa walau kuwe na masalia...
Huyu designer ni wakike au wakiume?Chezea weyeeeeeeeeeh lol designer ndo baby mamaah wa boss Dangote now, na anawapanga folen khaaaaaaaaaaaaah,
Sent using Jamii Forums mobile app
Desgner wa shost nyumbu eeeeh malizia codeKhaaaaaaaaaaaaah Huyu nae kiswaswadu akae kimyaaaaaaa, mbona yeye bahati hiyo ameipata na sioni akibadilika, na saivi atajiju bahati imetua kwa designer, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiih mji mzito huuuuuuh, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Weeeeh hujuw ladha ya topeeeeeh Tena usijaribu kabisaaaaa wengine washakuwa addicted uwiiiiiiih, ni vile Siri tyuuh siku files zikifukuliwa dunia itakuwa mwsho muda huo huo.Ila nasibu bwanaa, asa pale ndio anaona raha gani[emoji36][emoji36], mi mpaka sasa najiuliza ukaribu wao ulianza anza vipii[emoji848]
Bado sielewi aisee wacha nibadilu uzi tu[emoji124][emoji124][emoji124]
innalilahi wainalilahi rajiun."wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu"