π³Wajijenge vipi wakati mondi anajulikana mbahili. Juma nlimuona ni boya pale alivyosema bora abakwe kuliko kutoa password ya account yake ya instagram
Doh!π³π€¦π½ββοΈAwapitie Mara ngapi? Wakati ni nyumba zake ndogo na saivi kaongeza jiko lingine mwanamitindo uwiiiiiiiiihji mzito huu lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hivo na yeue anataka kupata nafasi ya akinazari sio. Atampa nini diamond, ama jamaa anagawa washeliJuma Lokole "wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu" wa Mitandao ya Kijamii JUMALOKOLE Anasema Kuwa Diamond hachezei wanawake bali wanajichezea wenyewe...
Wanakimbilia kupata Mimba wakijua ndio Mondi Atawapenda Milele , Yaani Badala ya kuhakikisha wanajijenga Kupitia jina la Diamond na kusaidia ndugu zao Wenyewe wanakimbilia Kutundikwa Mimba, Wakiachwa wanaanza kutafuta huruma za Wananchi....
View attachment 1376495
MmmmmhDoh![emoji15][emoji2363]
Kuku kuku tu jogoo jina upo nyonyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mwanamke anaeitwa Juma?
Mayai ya kunasia mimba alikaangia chipsi?ππππTatizo yeye Mimba haiwez nasa ndo kaamua kudis kiaina
We ni Mzoefu eehWeeeeh hujuw ladha ya topeeeeeh Tena usijaribu kabisaaaaa wengine washakuwa addicted uwiiiiiiih, ni vile Siri tyuuh siku files zikifukuliwa dunia itakuwa mwsho muda huo huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mwanamke anaeitwa Juma?
Mwenyekiti wa halmashauri ya LudewaNdio nani huyo?
OkayJuma Lokole "wanawake wanachezea nafasi wanayoipata kwa Diamond..Ingekuwa mimi Ningejijenga Kwanza Mimi na Kusaidia Ndugu zangu" wa Mitandao ya Kijamii JUMALOKOLE Anasema Kuwa Diamond hachezei wanawake bali wanajichezea wenyewe...
Wanakimbilia kupata Mimba wakijua ndio Mondi Atawapenda Milele , Yaani Badala ya kuhakikisha wanajijenga Kupitia jina la Diamond na kusaidia ndugu zao Wenyewe wanakimbilia Kutundikwa Mimba, Wakiachwa wanaanza kutafuta huruma za Wananchi....
View attachment 1376495