kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kufundisha timu mbili za ligi moja kwa wakati mmoja wa ligi haikubaliki na sio weledi. Madhara yake ni pamoja na:
1. Juma mgunda ana mapenzi/maslahi na timu mbili za ligi kuu kwa wakati mmoja.
2. Juma mgunda anaweza kupanga matokeo ndani ya ligi kuisaidia Coastal au Simba katika mazingira fulani kwenye mwenendo wa ligi kwa kuitumia Coastal au Simba.
3. Mgunda anaweza kuidhoofisha Coastal Union kwa kupenda au kutokupenda.
4. TFF imeanzisha chaka jipya kwenye mpira wa TZ (Presidency).
1. Juma mgunda ana mapenzi/maslahi na timu mbili za ligi kuu kwa wakati mmoja.
2. Juma mgunda anaweza kupanga matokeo ndani ya ligi kuisaidia Coastal au Simba katika mazingira fulani kwenye mwenendo wa ligi kwa kuitumia Coastal au Simba.
3. Mgunda anaweza kuidhoofisha Coastal Union kwa kupenda au kutokupenda.
4. TFF imeanzisha chaka jipya kwenye mpira wa TZ (Presidency).