The Genius
JF-Expert Member
- May 29, 2018
- 822
- 2,095
Sawa, ila hata huyo host anaangalia idadi ya watu watakao kuja.Show hazipo hivyo
Msanii hategemei kiingilio ili apate hela.
Yeye anafanya makubaliano na host analipwa nusu ya hela akimaliza show anakamilishiwa inayobaki.
Wasafi wamekanusha na chege kakanusha hakuna msanii anaelipwa 500k wasafi festival wote wako juu ya 500kSir Nature alikuwa zama hizo, nakumbuka mwaka 2004 walikuja wanaume family mapanga sha...wakiongozwa na nature pale ndani mabibo hostel , vibe lake lilikuwa si la kitoto...zama zimebadilika hana nyimbo mpya iliyochangamka kama nyimbo zake za enzi hizo kwa hiyo awe mpole tu laki 5 si haba labda ka ana madili mengine makubwa zaidi.
Umeconclude mkuu..ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.
Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.
But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.
Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.
Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Sureukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.
Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.
But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.
Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.
Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Yeye ni nani mbona mnampaisha? Nimekuja Bongo 2013 toka Gabon. Wewe unamjua Castro Dadi? Kama humjui utakuwa umezaliwa 2010Umezaliwa 2005 utamjuaje Nature?
Nazakwako zikoje,zinazomuona Juma nature Bado yupo kwenye trend.
Was looking for this kind of commentWatoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.
Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Usimlinganishe au kumtolea mfano wa kumhusianisha Snoop Dogg na vitu vya kipumbavuWatoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.
Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Hlo vibe unazungumzia la wapi na lini ? Msije mkawa mnamwingiza kingi mwisho wa sku stuation iwe more worse , uzuri bado yupo hai na ana Afya njema , basi mwambieni atangaze shoo ili tukate mzizi WA fitina , tusiandikie mate na wino upoKwenye trend ndio wapi?
Unaelewa hata vibe la show?
Nature anaweza asiwe kwenye top ten zenu za kwenye maredio ila hao wote walioshika namba za juu wasiweze kumfikia kwenye show tena kwa ngoma zile zile za miaka ya nyuma.
Ukiwa mtu unayejua mziki na kuhudhuria live show utaelewa hata hawa mainstream huwa wana amsha jukwaani kwa ngoma za zamani kuliko hizi za recently.Hlo vibe unazungumzia la wapi na lini ? Msije mkawa mnamwingiza kingi mwisho wa sku stuation iwe more worse , uzuri bado yupo hai na ana Afya njema , basi mwambieni atangaze shoo ili tukate mzizi WA fitina , tusiandikie mate na wino upo
Likes tu za comment hii zinanifanya niamini kuwa Nature bado ni moto wa kuotea mbali sana!!Kwa majukwaani bado sir nature ana uwezo wa hali ya juu mno ambao haujafikiwa na msanii yoyote yule.
Hili ndo swali sasa mengine yalikua makelele😀😀😀Tuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
hahahaaa nimekuelewa sana hapa.Brands kubwa Tanzania kama Tigo, Vodacom, TBL, Serengeti, CRDB, NMB, Cocacola wakiwa wanatoa deals za wasanii umeona wanawatafuta kina Mr. Nice, Johari, Wema Sepetu, Chidi Benz kwa heshima kisa walikuwa maarufu zamani?
Uzi ifungwe! Jibu sahihi kabisaKimuziki, Juma nature ana thamani zaidi ya laki tano ila kibiashara ya muziki sioni akizidi laki tano.
Ni vyema tukatofautisha, kati ya Nature na hadhi ya yake ya ukongwe na uwezo wake wa kale dhidi ya hitaji la biashara ya muziki wa Sasa.
Sasa hivi huyo nature ana hiyo thamani sawa na zamani?Wimbo wa Hillgame ni zaidi ya nyimbo zote zilizotoka bongo post 2008 ukiziunganisha. Nature apewe heshima yake. Kudharau waliofikisha sanaa hapa ni upotofu mkubwa.
Snoop Doggy ni brand kubwa sana, ukilinganisha na hao wengine.. Nature ame fail kuilinda brand yake.. acha ale alichopandaWatoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.
Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Siku Nature akialikwa ku-perform Simba/Yanga day ndiyo utaijua thamani yake.Sasa hivi huyo nature ana hiyo thamani sawa na zamani?
Mbona chege kama vibe lake km sio kivile kwenye hiz show ....au ni mimi pekee yangu nime notice hvoWasafi wamekanusha na chege kakanusha hakuna msanii anaelipwa 500k wasafi festival wote wako juu ya 500k