Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Sir Nature alikuwa zama hizo, nakumbuka mwaka 2004 walikuja wanaume family mapanga sha...wakiongozwa na nature pale ndani mabibo hostel , vibe lake lilikuwa si la kitoto...zama zimebadilika hana nyimbo mpya iliyochangamka kama nyimbo zake za enzi hizo kwa hiyo awe mpole tu laki 5 si haba labda ka ana madili mengine makubwa zaidi.
Wasafi wamekanusha na chege kakanusha hakuna msanii anaelipwa 500k wasafi festival wote wako juu ya 500k
 
ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.

Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.

But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.

Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.

Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Umeconclude mkuu..
Uzi ufungwe.
 
ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.

Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.

But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.

Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.

Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Sure
 
Watoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.

Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Was looking for this kind of comment
🤝
 
Watoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.

Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Usimlinganishe au kumtolea mfano wa kumhusianisha Snoop Dogg na vitu vya kipumbavu
 
Kwenye trend ndio wapi?

Unaelewa hata vibe la show?

Nature anaweza asiwe kwenye top ten zenu za kwenye maredio ila hao wote walioshika namba za juu wasiweze kumfikia kwenye show tena kwa ngoma zile zile za miaka ya nyuma.
Hlo vibe unazungumzia la wapi na lini ? Msije mkawa mnamwingiza kingi mwisho wa sku stuation iwe more worse , uzuri bado yupo hai na ana Afya njema , basi mwambieni atangaze shoo ili tukate mzizi WA fitina , tusiandikie mate na wino upo
 
Hlo vibe unazungumzia la wapi na lini ? Msije mkawa mnamwingiza kingi mwisho wa sku stuation iwe more worse , uzuri bado yupo hai na ana Afya njema , basi mwambieni atangaze shoo ili tukate mzizi WA fitina , tusiandikie mate na wino upo
Ukiwa mtu unayejua mziki na kuhudhuria live show utaelewa hata hawa mainstream huwa wana amsha jukwaani kwa ngoma za zamani kuliko hizi za recently.

Ngoma ya zamani iliyobamba inakuwa na na flavour ya kipekee.

Kwasababu kwanza haipo kwenye rotation ya kufanya isikilizwe sana.

Ngoma ikisikikizwa sana inazoeleka haraka na kuanza kukinai.

Ngoma ya namna hiyo ili iweze kuleta mzuka wakati wa show inatakiwa ipigwe miaka ambayo haipo kabisa kwenye rotation.

Na ndio sababu Best Naso aliweza kuwafunika mainstream artists ambao ngoma zao zinachezwa kila kukicha kwenye media.
 
Wimbo wa Hillgame ni zaidi ya nyimbo zote zilizotoka bongo post 2008 ukiziunganisha. Nature apewe heshima yake. Kudharau waliofikisha sanaa hapa ni upotofu mkubwa.
 
Watoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.

Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Snoop Doggy ni brand kubwa sana, ukilinganisha na hao wengine.. Nature ame fail kuilinda brand yake.. acha ale alichopanda
 
Wasafi wamekanusha na chege kakanusha hakuna msanii anaelipwa 500k wasafi festival wote wako juu ya 500k
Mbona chege kama vibe lake km sio kivile kwenye hiz show ....au ni mimi pekee yangu nime notice hvo
 
Back
Top Bottom