Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Billnas ana jina kubwa kuliko nature kwasasa labda ungeniambia nature wa zamani Ndio Maana Wasafi wamemvalue kwa hiyo hela

Kwenye "jina kubwa" Sio kwa leo hata kesho, Bilnas na Nature hawawekwi kwenye sentensi moja. Kiufupi Usifananishe mtu aliyekuwa on top na mtu mwingine ambaye yupo kwenye list ya wasanii wakubwa Ila HAJAWAHI kuwa on top kimuziki

Ukiongelea numbers, yawezekana Bilnas kwa sasa anazo kuliko nature Ila kusema anafahamika kumzidi. Hapo ifanyike research
 
Haitwi asiyehitajika, waandazi wameona anahitajika ndio sababu akaitwa

Hakuna mfanyabiashara ataita hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hayo matamasha siyo kila anaitwa anahitajika wengine ni kwaajili ya kusogeza muda kama tangazo katikati ya burudani, wanaohitajika wanalipwa hela nzuri hawa wasiohitajika wanakula hizo ndogondogo
 
Wenye hayo majina humu wapo?

Mbona mimi ni Shabiki wa Simba na mashabiki wa Yanga wananiita mbumbumbu, mkia, kolo, kolo wizard na sijawahi kuona kama ni tatizo la kuwaita mods?

Sembuse hao ambao hata hawapo?
Huyu jamaa ndo alivyo, huwa anawashwa washwa...watoto wa Kino hao
 
Nature mkongwe wa hili game.. kazingua. Angefanya for the love.. of his fans.
Hapaswi kutanguliza pesa mbele.
For love wakati alieandaa show anaondoka na MAMILIONI wewe unapewa 500,000/-
 
Nature mkongwe wa hili game.. kazingua. Angefanya for the love.. of his fans.
Hapaswi kutanguliza pesa mbele.

Issue sio pesa Ila heshima na kwenye issue za mjini, ukishakubali 500k , ndio inakuwa gharama yako ya show kwa kila mtu atakaekufuata..
Kwa upande wangu nature yupo sawa kabisa
 
Hawa watoto wa 2005 wasituumize kichwa.
Nature sio wa kuipwa 500k
Nature ni kuanzia 1.5m Tena unamwomba na gharama zingine iwe juu yako.
Mziki wa nature haujawah kuchuja.
Mtoto Idd
Kisa demu
Sitak demu
Ubinadam kazi
Mgambo
Mikikimiki
Wazaz
Ugal
Alizoshirikishwa ni utitir zikipigwa had hisia zinaamka .
Achen dharau Kwa legend wetu enyi vitoto vya sasa.
 
Kwa wasiomjua nature aliimba hizi ngoma

Hakuna kulala
Mgambo
Kila siku za wiki
Kisa Demu
Inaniuma Sana
Sitaki Demu
Mtoto Iddi
Mzee wa busara....

Dah Kwa hizi ngoma hata Mimi ningekataa laki tano... Tatizo watoto wa DP WORLD hawawezi nielewa [emoji26][emoji16]
Waambie watakwambia msanii wao Bora ni Chinowamanyani
 
Ndiyo, ni kweli wasanii wa zamani Wana vibe kwenye stage. Lakini mashabiki hawajui Hilo. Mashabiki huwa wanafuata wasanii wanaotrend.
Wakishanunua tiketi na kuingia ndo mambo ya kuvibe nyimbo za zamani yanakuja baadae.

Ukisema best naso afanye show yake Furahisha na Mario afanyie yake kirumba, watu watajaa kwa Mario ingawa hao watatu watakaoenda kwa best naso watavibe kuliko maelfu walioenda kwa Mario..

Wanaoandaa matamasha hawakulipi msanii kwa uwezo wako wa kuliamsha kwenye stage, wanakulipa kwa uwezo wako wa kuuza tiketi.

Business is business.
Yap naweza nikakuelewa kama tulikubaliana ni aina gani ya mashabiki ambao tunawachagua kama reference

Naweza kukubaliana na wewe kuwa mashabiki ma teenager wana hiyo trend ya kumkubali msanii ambaye wao wenyewe ndio walimpandisha kwenye peak.

Hawatakuwa na muda wa kuangalia kilichoimbwa wao kazi yao ni moja kusema "ngoma kali" as long as imeimbwa na msanii wao waliompa milage.

Lakini vile vile lipo kundi la watu wanaoingia kwa ajili tu ya kumuona msanii kulingana na usupastaa wake aliojitengenezea.

Kwa hiyo tutofautishe hapo kati ya kupata idadi ya watu wengi kwasababu ya usupastaa wako na kupata idadi ya watu wengi kutokana na talent yako.

So Nature hana usupastaa, sio mtu ambaye bishoo wa mtaani akikutana naye mtaani ataomba picha au akirudi home ahadithie kuwa nilikutana na msanii mkubwa.
 
Hawa watoto wa 2005 wasituumize kichwa.
Nature sio wa kuipwa 500k
Nature ni kuanzia 1.5m Tena unamwomba na gharama zingine iwe juu yako.
Mziki wa nature haujawah kuchuja.
Mtoto Idd
Kisa demu
Sitak demu
Ubinadam kazi
Mgambo
Mikikimiki
Wazaz
Ugal
Alizoshirikishwa ni utitir zikipigwa had hisia zinaamka .
Achen dharau Kwa legend wetu enyi vitoto vya sasa.
Nyie wazee ni kwenye keyboard tu lakini kwenye shoo hamuezi enda
 
Billnas ana jina kubwa kuliko nature kwasasa labda ungeniambia nature wa zamani Ndio Maana Wasafi wamemvalue kwa hiyo hela
Yeah Billnas ana jina kubwa kwa kizazi cha sasa

Lakini kwenye swala la malipo nauhakika asilimia kubwa hachukui zaidi ya laki 5.

Wasanii wanaishi maisha ambayo sio yao, wengi wanaigiza na hii ndio sababu inafanya mashabiki waanze kuwakadiria katika taswira pana.
 
Na shoo zote nature anakua mwishoni au WA pili kutoka mwisho ana balaa yule Mzee..Mimi nshaenda sana fiesta !!nature anakuumbua na wasanii wako ana uwezo WA kuimba bila kuchoka mda mrefu kaahh...sijaona Mimi
Nature ni mtu mwingine kwenye show.

Kama uliwahi kusikia kuwa kuna wasanii wanaogopa kufanya kolabo na wasanii wenzao wakiogopa kufichwa.

Basi vilevile kuna wasanii wanaogopa kufanya show jukwaa moja na Nature wakijua watafichwa.

Nature ni moja ya msanii ambaye akiwa stejini hautajutia hela yako uliyotoa kiingilio.

Ni hatari yule kiumbe ana balaa.
 
Yap naweza nikakuelewa kama tulikubaliana ni aina gani ya mashabiki ambao tunawachagua kama reference

Naweza kukubaliana na wewe kuwa mashabiki ma teenager wana hiyo trend ya kumkubali msanii ambaye wao wenyewe ndio walimpandisha kwenye peak.

Hawatakuwa na muda wa kuangalia kilichoimbwa wao kazi yao ni moja kusema "ngoma kali" as long as imeimbwa na msanii wao waliompa milage.

Lakini vile vile lipo kundi la watu wanaoingia kwa ajili tu ya kumuona msanii kulingana na usupastaa wake aliojitengenezea.

Kwa hiyo tutofautishe hapo kati ya kupata idadi ya watu wengi kwasababu ya usupastaa wako na kupata idadi ya watu wengi kutokana na talent yako.

So Nature hana usupastaa, sio mtu ambaye bishoo wa mtaani akikutana naye mtaani ataomba picha au akirudi home ahadithie kuwa nilikutana na msanii mkubwa.
ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.

Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.

But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.

Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.

Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
 
ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.

Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.

But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.

Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.

Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Usupa staa unakuwa na sehemu yake ambayo huko ndio una play role yake.

Unajua kwasababu gani hao wenye vipaji hawasikiki?

Ni kwasababu ya jamii imeshiba sana ujinga (Dizasta Said)

Tukiwa na jamii ambayo ina vijana conscious hao kina Mwijaku hawezi kupewa air time ya kuongelewa kwasababu ataonekana mpuuzi machoni mwa watu.

Na kwanzia hapo kila mtu atajua namna pekee ya kukubalika ni kufanya kitu kwa weledi kuzingatia ubora kwasababu ndio soko linavyotaka
 
Wasanii wao sasa

Utaskia

"Kwenye steji namleta kwenu, namleta kwenu.... Piga keleleeeeeeeeeeeeeeee"
 
Back
Top Bottom