G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Know your worth. Msanii wa hadhi ya Juma Nature kwa nchi jirani hata Kenya tu hapo huwezi kumfanyisha show ukamlipa dollar 200. Huo ni uongo bana. 🤣Kama wanalipiwa usafiri, msosi, malazi, na stage anapanda chini ya 15 minutes sio mbaya.