Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Watoto wa juzi hawaelewi uzito wa Nature. That nigga is a tripple OG.

Yani ni sawa na Marekani umuite Snoop Doggy Dog kwenye tamasha ambalo wapo New School artists kama wakina Wiz Khalifa, YG, Migos, Roddy Ricch na wengineo kisha utake kumlipa $250 eti kwa sababu ata perform kwa nusu saa na hana nyimbo mpya.
Zamani zamani zamani....
🚮🚮🚮
 
Ila inafikirisha sana Unajua hio Poster ya wasafi ilienda Public kabisa Kutangaza kuwa Juma nature kibra atakuwepo Kwenye Show, Je walifanya ivo bila makubaliano ya Kulipana kiasi gani? Mana walimtangaza kabisa au Juma nature alikubali then baadae akatafakari au akashauriwa ndo akapiga Chini?
 
Ila inafikirisha sana Unajua hio Poster ya wasafi ilienda Public kabisa Kutangaza kuwa Juma nature kibra atakuwepo Kwenye Show, Je walifanya ivo bila makubaliano ya Kulipana kiasi gani? Mana walimtangaza kabisa au Juma nature alikubali then baadae akatafakari au akashauriwa ndo akapiga Chini?
Swali zuri sana hili,bila shaka kuna issue nyingine kabisa na wala sio eti kulipwa laki 5
 
Kwenye "jina kubwa" Sio kwa leo hata kesho, Bilnas na Nature hawawekwi kwenye sentensi moja. Kiufupi Usifananishe mtu aliyekuwa on top na mtu mwingine ambaye yupo kwenye list ya wasanii wakubwa Ila HAJAWAHI kuwa on top kimuziki

Ukiongelea numbers, yawezekana Bilnas kwa sasa anazo kuliko nature Ila kusema anafahamika kumzidi. Hapo ifanyike research
Hiyo number Ndio inamtofautisha bilnass na nature kwenye malipo kabla ya show mashabiki wanaangalia majina Ndio wananunua ticket suala la sijui performance linakuja baadae
 
Issue sio pesa Ila heshima na kwenye issue za mjini, ukishakubali 500k , ndio inakuwa gharama yako ya show kwa kila mtu atakaekufuata..
Kwa upande wangu nature yupo sawa kabisa
Hiyo ya laki 5 kajitangaza yeye mwenyewe akipiga kimya nani angejua
 
Nature ni mtu mwingine kwenye show.

Kama uliwahi kusikia kuwa kuna wasanii wanaogopa kufanya kolabo na wasanii wenzao wakiogopa kufichwa.

Basi vilevile kuna wasanii wanaogopa kufanya show jukwaa moja na Nature wakijua watafichwa.

Nature ni moja ya msanii ambaye akiwa stejini hautajutia hela yako uliyotoa kiingilio.

Ni hatari yule kiumbe ana balaa.
Wewe unazungumzia performance kabla watu wanaangalia jina kwanza ndio wananunua ticket je kwenye kizazi hichi nature anauza?
 
Ila inafikirisha sana Unajua hio Poster ya wasafi ilienda Public kabisa Kutangaza kuwa Juma nature kibra atakuwepo Kwenye Show, Je walifanya ivo bila makubaliano ya Kulipana kiasi gani? Mana walimtangaza kabisa au Juma nature alikubali then baadae akatafakari au akashauriwa ndo akapiga Chini?
Kiki ili tamasha li hit...😅
 
ukweli ni kwamba Music industry au celebrity industry kwa ujumla haijawahi kuwa about talent lakini it is about usupa staa. Hii haijaanza leo wala Jana.
Kama ni talent, Kuna watu maelfu kwa Malaki hapa Tz Wana talent kuliko kina diamond,alikiba, young lunya hata hao kina Nature etc. Lakini hawajulikani Kwasababu hawana nyota ya usupa staa na kutrend.

Although unaweza kumake case kuwa wasanii wa zamani walikuwa na talent kuliko wa sikuhizi kwasababū zamani ili utrend inabidi uwe na kipaji, sikuhizi sio lazima uwe na kipaji ili utrend ni ujanja ujanja na connection, kwahyo unakuwa na supastaas wengi wasio na vipaji.

But the issue inabaki palepale, uwe na talent au usiwe nayo, kwenye music/celebrity industry kinachomata namba 1 ni usupastaa na kutrend kwako.

Hicho ndo kinadetermine thamani na dau lako.

Kwasasa Nature sio supastaa na wala hatrend, na hata fanbase yake ni wazee wa 30+ ambao hawahudhurii hizi show
Nakuunga mkono upo sahihi sana kinacho uzwa hapo ni jina kwanza sio unaenda kuperform vipi
 
Ila inafikirisha sana Unajua hio Poster ya wasafi ilienda Public kabisa Kutangaza kuwa Juma nature kibra atakuwepo Kwenye Show, Je walifanya ivo bila makubaliano ya Kulipana kiasi gani? Mana walimtangaza kabisa au Juma nature alikubali then baadae akatafakari au akashauriwa ndo akapiga Chini?
Kibongo bongo inawezekana na yalishatokea,
Harmonize aliwahi kua na tamasha Tabata kwenye poster akamuweka Jux atakuwepo, kumbe hawakufika makubaliano Jux akammind,

Jux huyo huyo aliwahi kua na show akatangaza Ben Paul atakuwepo kumbe hawakukubaliana Ben Paul akammind,

So huenda walimuuliiza Sir Nature kama yuko fresh kupiga show Ntwara alivyosema poa, wakamuweka kwenye Poster kabla ya makubaliano ya malipo,

Wabongo kuchukuliana poa hilo tunaliweza.
 
Hawa jamaa wanazungumzia ushabiki kwenye masuala ya hela na uwekezaji wa watu.
Kwanza Wasafi Festival inahudhuriwa na vijana under 30 wengi kuliko watu wazima, sasa tiketi zitauza kwa nani kati ya Nature na let's say Jux?

Mtu anakwambia eti Juma alivyotoa album ya Ugali alikuwa sijui sekondari, mtu huyohuyo Wasafi Festival haina maudhui yake haendi ila anataka Juma Nature alipwe "kwa heshima". Na mtu huyo wala hashabikii msanii ambaye alivuma akiwa anatambaa, ila anataka rika la hiyo Festival lishabikie msanii aliyevuma kipindi halijaanza shule. Huwezi pata mauzo kwa kutumia hizi nadharia.

Suala la malipo honestly Nature kapewa dau dogo, sasa kakataa labda kwenye negotiations akataka dau ambalo waandaaji wameona hana thamani hiyo kwenye audience yao au yawezekana kakataa bid bila kutoa ofa yake. Hii show sio Hall of Fame kwamba unakuja kwa huruma ya fans wako na tunakuita kwa heshima, this is business.

Maudhui ya hii festival hayaendani na hadhi ya kina Juma Nature. Kuna show ya old school inabidi iandaliwe mahsusi na iwaunganishe legends wote hao. Msuguano utakaotokea kwenye maandalizi sio wa kitoto, humo kwenye legends kuna walevi kibao, watu pumzi imekata muda hawakumbuki last time wamepanda stejini lini, wahuni wasiozingatia makubaliano wapo wa kutosha na tabu nyinginezo. Na hapo ubahatishe hawa keyboard fans wenye majukumu mengi kwa sasa wanaodai watahudhuria. Waandaaji wanazingatia vitu vingi wanakacha event kama hiyo.
Hii analysis ingekuwa sahihi endapo tu, tungekuwa tunazungumzia Twanga pepeta.
Na sio juma nature.
Tuchulie wahudhuriaji wa show ni kuanzia miaka 30 mpaka 23.
Wengi hapo wakati nature yupo kwenye peak walikuwa wanajitambua kuweza kujua mziki mzuri au mbaya.
Huwezi niambia mtoto wa miaka 5 mpaka 12 alikuwa hajitambui.
 
Back
Top Bottom