Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Kipindi cha kina Juma Nature hakukuwa na mitandao. Connection za hela zilitegemea ma promoter na baraka za Clouds fm. Bila hivyo huuzi show kwahio wamepitia ugumu kuliko hao kina Mondi.

Halafu Nature hayuko kwenye maagano ya kishirikina kama huyo Domo unaemsifia.
Kwani diamond ajapitia ugumu? Hivi ujui clouds waligombana na diamond wakapiga stop Ngoma zake kupigwa redioni na si clouds pekee kuna redio ya majizzo na East Africa redio hakuna hata msanii mmoja aliyemsapoti pamoja na hiyo vita the end of the day akaibuka mshindi mpaka Leo ana jina kubwa
 
Kwani diamond ajapitia ugumu? Hivi ujui clouds waligombana na diamond wakapiga stop Ngoma zake kupigwa redioni na si clouds pekee kuna redio ya majizzo na East Africa redio hakuna hata msanii mmoja aliyemsapoti pamoja na hiyo vita the end of the day akaibuka mshindi mpaka Leo ana jina kubwa
Mitandao mkuu social media ilimuokoa
 
Hii sio show ya watu wenye akili sana kwamba watatumia heshima na kumbukumbu kuliko trend, mtu wa kawaida, muuza chips au bodaboda wa Morogoro mwenye miaka 24 unatarajia akiwekwa Jux hapo na akawekwa Juma Nature ataenda wapi?

Nature ana tracks kadhaa miaka hii mitano iliyopita, kuna ngoma yeyote ina viewers hata 200k YouTube? Wakati huo hayupo streaming platforms sasa mashabiki zake wengi wanamsikiliza kupitia wapi? Muda huo tulinganishe na ngoma za wabana pua wanaotrend hawakosi viewers za millions. Sasa kama unaandaa show ya rika hili la kurushiana vumbi unafanyaje hapo. Ushahidi wa kwamba Nature anauza unaupata wapi, unabaki na ushahidi kwamba aliwahi uza na ana fanbase yake ambayo sio hii ya Fiesta au Wasafi Festival.
Whozu pia ana viewers......
Na streams, je whozu atakusanya kijiji kuliko Nature?
 
Mitandao mkuu social media ilimuokoa
Wasanii wengi walikufa kisanaa baada ya kugombana na clouds Ile yeye amesavive bila hata kuwapigia goti hata na nature bila ya clouds angekufa kisanaa issue sio tu social media ni nguvu ya msanii ni kubwa Ndio imemsaidia maana kama ni social media pekee si wangetoboa wengi
 
Naona kishachelewa kuitambua thamani yake, hii akili kama angekuwa nayo kipindi kile anacho tumika kwenye makampeni na majukwaa mengine, angekuwa na hela sana.

Ila naona anashtuka tayari jua lishazama, kuna wasanii wa zamani wanapiga show ndani ndani halipwi hela hiyo na kuna wengine wakienda huko labda kwenye mikoa wanayolima mchele,baada ya show wanafungiwa viroba vya mchele.

Ila may be inaonekana inaonekana yupo vizuri, kwani miaka ya nyuma nilisikia jamaa ana nyumba nyingi sana maeneo ya Temeke pamoja na daladala kazaa.
 
Hiyo ya laki 5 kajitangaza yeye mwenyewe akipiga kimya nani angejua
Katangaza kama hiyo 500k sio level yake ikimaanisha yoyote atakaemfuata, ajue kaisa hapigi show kwa hela hiyo. Kiufupi kaonesha thamani yake
 
Nature alishakuwa na heshima kitambo... Pesa haimuongezei chochote.
Kukataa shoo hiyo kaonesha kutokukomaa ktk tasnia.

Nature kwa Sasa ni mtu wa kutoa misaada...shoo za hisani kusaidia masikini.
Kwani wasafi festival ni charity work hadi aweke maslahi yake pembeni na nani alikuambia kuwa kuna mtu ambaye pesa haimuongezei chochote, ingekuwa hivyo Bakhresa au Mo wasingehangaika kutafuta fursa mpya daily

Nature kuikataa laki tano imethibitisha kuwa bado anaujua na kuthamini ukubwa wake, usije kushangaa diamond kesho akaenda kumpa dau kubwa ili aweze kufanya performance kwenye final show ya festival maana nature ashajitengenezea publicity

Ila Wasafi festival iliyokuzwa kama mbadala wa fiesta ndio imeshushwa kwa kuonekana alochokilalamikia diamond miaka ile ndicho anachokifanya leo hii
 
Usupa staa unakuwa na sehemu yake ambayo huko ndio una play role yake.

Unajua kwasababu gani hao wenye vipaji hawasikiki?

Ni kwasababu ya jamii imeshiba sana ujinga (Dizasta Said)

Tukiwa na jamii ambayo ina vijana conscious hao kina Mwijaku hawezi kupewa air time ya kuongelewa kwasababu ataonekana mpuuzi machoni mwa watu.

Na kwanzia hapo kila mtu atajua namna pekee ya kukubalika ni kufanya kitu kwa weledi kuzingatia ubora kwasababu ndio soko linavyotaka
Kushiba ujinga unaweza kuzilaumu social medias.

Zamani hakukuwa na sources nyingi za burudani na ilikuwa ngumu kwa mtu kuburudika, mpaka asubirie saa 2 mizengwe au ze comedy au asubirie ngoma mpya ya professa J aisikilize kwenye kimemory chake na kiredio kwa mwezi mzima mpaka akariri mashairi yote. Ndomaana ilibidi wasanii wa zamani wawe very talented maana walikuwa wanategenewa kwa burudani na jamii ilikuwa inawasikiliza kwa mda mrefu. Msanii anaweza kutoa ngoma moja akatrend mwaka mzima au hata miwili.

Sikuhizi mtu akitaka kucheka au kuburudika ni bundle lake tu , akiingia Whatsapp status atakuta contacts zake wanamchekesha kwa vimeme kibao, akienda TikTok ni swala la kuscroll tu anapata burudani mpya Kila sekunde, akienda Instagram ndo usiseme, akiingia youtube atascroll mpaka achoke, Yani kumekuwa na abundance au oversupply ya entertainment ambayo inasababisha dopamine kwenye ubongo kuzalishwa kwa wingi mpaka kuleta uteja.

Hii imesababisha Attention span ya vijana kupungua. Ndomaana wasanii wa sikuhizi wanatoa ngoma Kila mwezi na Bado hawapati attention kama wasanii wa zamani. Mtu akishaisikiliza mara 2 basi anaenda TikTok kucheki mishe zingine.

Kama mlevi wa porno alivyo, kwakuwa ana uwezo wa kuscroll akaona wanawake hata 100 kwa lisaa limoja (Na anazoea kufanya Hivyo) inamsababishia kupungua uwezo wa kuburudika na mwanamke mmoja. Hata akiwa naye kitandani akipiga bao moja Chali maana attention kwake ishapotea.

Ndivo ilivo kwa kizazi Cha Sasa kuhusu burudani. ili utrend haitoshi kuwa na talent au kuongea vitu vya maana kama Dizasta. Inatakiwa uwe na Shock Value itakayomfanya mtu apay attention kwako. Sio unatoa ngoma ambayo mtu atatakiwa aisikilize mara 7 ndo aielewe.
Ndomaana wasanii wamechuja vipaji vyao na kuanza kuimba ujinga ambao una shock Value ya kumvuta mtu ndani ya sekunde kadhaa. Ndio maana kina Roma Bado wako relevant maana Wana Ile shock Value ya siasa. Ingawa kimziki anazidiwa na kina Fidq, Nikki mbishi au Dizasta

Hiyo ndo sababu kwann hata huku Jf Uzi za kijinga MUM zinatrend kuliko za JF intelligence. Kwasababu ya hiyo shock Value ya ujinga kama "Nimemfumania Mke wangu kwenye threesome na wazazi wangu"
 
Hao wasanii sijawahi kuwaelewa na siji kuwaelewa.

Mi sio mtu rahisi kuongopewa.

Nature ni valuable kwenye show asikuambie mtu.

Hawa wasanii wao wanaowaona wanaimba vizuri wengi hawajawahi kuwa na amsha kwenye show. Verse mbili tayari anakunyooshea mic umalizie.
Wasani wa sahv wao wanakuambia rushamikono juu
Say yeah yeahw3ka mkono juu
Upuz mtupu
Mara sjui honeyy honeyyy inama nkuweke kunywa bia sijui
[emoji1]

Ova
 
Wasanii wengi walikufa kisanaa baada ya kugombana na clouds Ile yeye amesavive bila hata kuwapigia goti hata na nature bila ya clouds angekufa kisanaa issue sio tu social media ni nguvu ya msanii ni kubwa Ndio imemsaidia maana kama ni social media pekee si wangetoboa wengi
Usibishe brother, bila social media diamond angeshushwa vizuri tu maana hizi digital platforms na social media ndo zimeondoa utegemezi wa watu kwenye media kubwa kupush kazi zao

Ila kama media zingekuwa na hiyo domination hadi Leo, diamond angebaki ni yesterday story kama waliopita
 
Back
Top Bottom