Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ujinga umepata nafasi kwasababu modern generation inapenda vitu rahisi haipendi kushirikisha ubongo.Bro Huo ujinga wa watu unadhani umezalishwaje au umetokeaje au umekujaje? Maana hakuna unga tuliolishwa au malaika aliyeshushwa kuleta ujinga Tanzania.
I'm sorry to disappoint you kwamba jamii ya kitanzania always imekuwa ya wajinga wengi kuliko werevu. Tena Bora sikuhizi idadi ya werevu kidogo imeongezeka kuliko zamani.
Tofauti tu ni kuwa, baada ya kuwa na hizi social medias, Power ya kutengeneza trend imeondolewa kwa wenye media au watu maarufu na imepelekwa kwa watu wote mtandaoni (ndo tunapata watubaki wanatrend kama mzee wa 900 itapendeza,Pierre liquid,Nabii Tito,Harmorapa,RC wa Tabora,Mwijaku, babalevo Nk.)
Hivo imekuwa Rahisi kwa wajinga kusapoti ujinga wao kuliko zamani. Na Kwasababu wajinga Tanzania ni wengi ndio maana ujinga unatrend.
Na wasanii Kwasababu wanataka kutrend wanafanya vitu ambavyo jamii inataka.
Social media zimetengeneza mazingira ya echo chambers kwa watumiaji kuflock kama nyumbu kwa vitu wanavyovipenda.
Sasa Kwasababu watumiaji tayari waanaenda kama nyumbu, ni ngumu kwa msanii kuwapa kitu tofauti na walichokizoea wakakifuata.
Tofauti na zamani ambapo msanii ndo alikuwa ana power ya kufanya chochote na kutengeneza trend na yeye ndo anaweza kudirect upepo uelekee wapi maana jamii ilikuwa Haina alternative.
Ndomaana sikuhizi hata diversity ya mziki inapungua kwa Kasi, wasanii wote wanakuwa na ladha ileile kama ikitrend amapiano Kila mtu anaimba amapiano, sio kama zamani Kila msanii alikuwa na style yake unique.
Kitu kingine ni namna ambavyo sex imepewa mileage.
Kuna msemo unaitwa "Sex sells"
Hii inamaanisha audience inapenda kusikia, kuhisi, kuona na kuonja kila kitu kinachohusu sex.
Sex becomes bait for catching fans