Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha,halewa au mapanga shaaKizazi cha amapiano umletee mambo ya sitaki demu au shibe shibee wataelewa saa ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha,halewa au mapanga shaaKizazi cha amapiano umletee mambo ya sitaki demu au shibe shibee wataelewa saa ngapi
Watu wanataka mademu we uje useme sitaki demu,kweli?Kizazi cha amapiano umletee mambo ya sitaki demu au shibe shibee wataelewa saa ngapi
Au mambo ya mzee wa busara😂😂 ila zamani walikua wanaimba sana. Verse tatu za kushiba siku hizi chorus inarudiwa mara 5 wimbo umeishaWatu wanataka mademu we uje useme sitaki demu,kweli?
UONGO MTUPU,KAMA UKO DAR AU UNA NDUGU HUKU MWAMBIE APANDE GARI HADI MBAGALA MWISHO.Inasemekana huko daslam ana madaladala mengi yanamuingizia chochote, ndo ikampa jeuri ya kukataa
Acha story hizoUONGO MTUPU,KAMA UKO DAR AU UNA NDUGU HUKU MWAMBIE APANDE GARI HADI MBAGALA MWISHO.
AKIFIKA PALE AMCHUKUE BODABODA YOYOTE AMPELEKE GUEST MOJA INAITWA MABANDA.UKIFIKA HAPO MABANDA ULIZIA KWA NATURE.UKISHAMUONA HUYO NATURE NA NYUMBA YAKE UTALIA.
BAADA YA HAPO RUDI HAPA UTUELEZE HIZO DALADALA ANAZOMILIK NDO AISHI KWENYE KIJUMBA KILE.
ANALEWA SANA MAENEO YA KWA MZUNGU PALE KWENYE KI PUB PORI
KARIB DAR NDUG MIKOANI MNA POROJO MNAZOSOMA MITANDAONI NA UHALISIA HAMUJUI,AU UNATAKA NA PICHA YA NATURE AKILEWA AU NYUMBA YAKE?Acha story hizo
We necha unamjua
Sisi hatukujui
Huoni tofauti hiyo?🤣🤣
Bado hamjasema mtasema yote[emoji119][emoji23]UONGO MTUPU,KAMA UKO DAR AU UNA NDUGU HUKU MWAMBIE APANDE GARI HADI MBAGALA MWISHO.
AKIFIKA PALE AMCHUKUE BODABODA YOYOTE AMPELEKE GUEST MOJA INAITWA MABANDA.UKIFIKA HAPO MABANDA ULIZIA KWA NATURE.UKISHAMUONA HUYO NATURE NA NYUMBA YAKE UTALIA.
BAADA YA HAPO RUDI HAPA UTUELEZE HIZO DALADALA ANAZOMILIK NDO AISHI KWENYE KIJUMBA KILE.
ANALEWA SANA MAENEO YA KWA MZUNGU PALE KWENYE KI PUB PORI
Muanzisha Uzi atakuwa wa kwanza kutohudhuriaLabda ya bure asije akajidangaya itakuwa ni aibu ya mwaka
Unamzungumzia Juma nature yupi? Huyu wa sasa au yule wa zamani..!!?? Hebu tazama post ya mtoa uzi, nyimbo zote za zamaaaniiii...!! Hii maana yake Juma anayetajwa hapa ni yule wa zamani. Wa sasa hana kitu..!! Akiweka show wataingia wachache sana, tena kwa buku 3. Zaidi ya hapo ataviimbia vitiJuma Nature pia hajapata shida?
Umasikini wako kama unakupelekesha usidhani wote wanapelekeshwa!
Tena wala asithubutu..!! Show hiyo ndo itakuwa kaburi lake kimuziki..!! Ni sawa na kusema leo hii Mr Nice afanye shoo na kilakshari pugu Kariakoo aone kama atawapata watu wengiHahahaaaaa wanaojua nyimbo za nature wengi washaacha mambo ya starehe. Kweli atashaa
Vijana wa zamani wazee wa leoKm anapewa promo na big media ,na udhamini ,anaweza kutupata sie vijana wa zaman
HahahahahahaVijana wa zamani wazee wa leo
😂 Pale kwa mzungu hua namkuta Mara kibao .UONGO MTUPU,KAMA UKO DAR AU UNA NDUGU HUKU MWAMBIE APANDE GARI HADI MBAGALA MWISHO.
AKIFIKA PALE AMCHUKUE BODABODA YOYOTE AMPELEKE GUEST MOJA INAITWA MABANDA.UKIFIKA HAPO MABANDA ULIZIA KWA NATURE.UKISHAMUONA HUYO NATURE NA NYUMBA YAKE UTALIA.
BAADA YA HAPO RUDI HAPA UTUELEZE HIZO DALADALA ANAZOMILIK NDO AISHI KWENYE KIJUMBA KILE.
ANALEWA SANA MAENEO YA KWA MZUNGU PALE KWENYE KI PUB PORI
Fundi wako hajakwama bado, Kuna kipindi unaweza kukosa 500 nauli ya bus kutoka kituo kimoja kwenda kingineKuna fundi wangu hata kama hana kazi na ikatokea labda dayworker ya 25k wala hawezi kwenda.
Kumtoa nyumbani kwa day walau 30k anaweza kuja, tena muwe mnajuana.
So simshangai kiroboto kukataa 500k.
Nilipishananad kichochoroni pale kwenye mfereji uliojengwa nikamfokasi si nature huyu kuwa msanii stress😂 Pale kwa mzungu hua namkuta Mara kibao .