Juma Nature asema yeye ndio mwenye ubavu wa kupambana na Diamond kwa sasa

Juma Nature asema yeye ndio mwenye ubavu wa kupambana na Diamond kwa sasa

Nmemskia Raymond Mzee... Mond amefanya kitu kizur sana awanyanyue madogo then kaz aanze kupiga kwenye studio yake bt kwa jina lake lilivyokubwa nlipenda aanze kupiga live band atatisha sana mzee
ahahahahah...
najua LIVE band ndo ugonjwa wako mzee...
lakini ukweli unabaki kuwa ni wasanii wachache sana AFRICA wanaweza fanya hiyo kitu ya LIVE band...
hili jambo sio la kubisha..!!!
 
ahahahahah...
najua LIVE band ndo ugonjwa wako mzee...
lakini ukweli unabaki kuwa ni wasanii wachache sana AFRICA wanaweza fanya hiyo kitu ya LIVE band...
hili jambo sio la kubisha..!!!
Kweliii ila ndo muziki wa dunia mm mond namkubali sana ila linapokuja suala la kumlinganisha na kiba ndo huwa nakuwa tofaut... Me najua yule jambaz akiamua live band anagonga na atatisha mbaya me mgonjwa wa live band mzee
 
VP kuhusu matokeo ya tuzo za kora awards-2016.
Wanatuzingua.
Team Kora-2016 hawaweki Big Results Now kwanini.?
Wadau?
 
Nmemskia Raymond Mzee... Mond amefanya kitu kizur sana awanyanyue madogo then kaz aanze kupiga kwenye studio yake bt kwa jina lake lilivyokubwa nlipenda aanze kupiga live band atatisha sana mzee

Kumbe huwa unajielewa muda flani... Wasanii sio substitutes, ukilifahamu hili huwezi kupata shida...!!
 
VP kuhusu matokeo ya tuzo za kora awards-2016.
Wanatuzingua.
Team Kora-2016 hawaweki Big Results Now kwanini.?
Wadau?

Hawa watu dizain kama hawaeleweki hiviii, maana sioni mwemko wa wasanii hta kidogo.. Inawezekana imekuwa cancelled..
 
Mwanamuziki mkongwe kwenye game la Bongo Fleva, Juma Nature, amesema yupo tayari kupambana na Diamond Platnumz kwenye game la muziki 'live" na show ifanyike uwanja wa taifa

Ameyezungumza hayo alipokuwa kwenye show ya 'Friday Night Live' usiku wa kuamkia leo ambapo amefunguka kwa kusema kuwa Diamond ndiye anakalia game ya muziki nchini kwa sasa, na muziki ni furaha basi anataka kupambana naye kwenye uwanja wa Taifa na mashabiki wakitazama huku kusema nani ni mshindi

Juma Nature anaamini kuwa Diamond ndiye kaiteka game kuliko Alikiba, Nakusema ndiye anaweza kushindana naye kwenye game la muziki. Hivyo kama viongozi wapo tayari kuunga mkono na kutengeneza muziki mzuri basi waandae tamasha hilo.
Na hizo ndio athari za BIA ZA MAKARATASI.
 
Nature ndio rais wa Temeke,
Mshaurini Diamond asithubutu kukubali hilo pambano,
Ataangukia pua na kuvunja pingili za mgongo bureeee.

(UTAONA WATU WATAKAVYOPANIC SASA :-D)
Nature jukwaan siyo mtu mzuri asije mtu AKATHUBUTU hahahahaaaa ataoga aibu ya mwaka
 
Humkumbuki? si yule alitaka kushindana na Sinta alafu aliposhindwa, akaanza kulia "inaniuma sana......" Sasa anataka tena mashindano akishindwa aanze kulia tena.
oh yule mwembamba ,mdogo mdogo hivi[emoji33] [emoji33] [emoji33]
 
anataka atembelee nyota ya diamond kama ali kiba...

mziki wamefeli wenyewe walipopata fursa sasa mwenzao ameishika wanataka watumie kushindana nae nao waonekane na kutajwa tajwa..


hakuna haja ya mashindano uwanjani.. do your best mashabiki tutaona uwezo.

sijawai kuona diamond akiomba mashindano na mtu
Dogo sasa hivi yupo viwanja na timu kubwa kuanzia mama, bintie na partner wake plus wadau wake katika kazi, na hii inaonyesha yupo vizuri
 
Unajua nyimbo za kiba hazinaga vina anaimbimba tu
Skiza me naskiza zote Mzee na ndo maana najua hata tofauti ya hawa madogo wawili sawa mheshimiwa diamond msanii mzuri ila utunzi na sauti kaachwa hiyo mfuate mtu yyte anayejua muziki atakwambia
Utunzi upi wa nyimbo bila vina muulize Niki mbishi atakujibu kuhusu utunzi wa domo anasema kwa wabana pua domo anafata taratibu zote za utunzi kiba labda kubana pua tu ndo anachomshindia domo lkn utunzi kiba atasubili sana kubali kataa lkn ukweli ndo huwo
 
Back
Top Bottom