George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
ahahahahah...Nmemskia Raymond Mzee... Mond amefanya kitu kizur sana awanyanyue madogo then kaz aanze kupiga kwenye studio yake bt kwa jina lake lilivyokubwa nlipenda aanze kupiga live band atatisha sana mzee
Kweliii ila ndo muziki wa dunia mm mond namkubali sana ila linapokuja suala la kumlinganisha na kiba ndo huwa nakuwa tofaut... Me najua yule jambaz akiamua live band anagonga na atatisha mbaya me mgonjwa wa live band mzeeahahahahah...
najua LIVE band ndo ugonjwa wako mzee...
lakini ukweli unabaki kuwa ni wasanii wachache sana AFRICA wanaweza fanya hiyo kitu ya LIVE band...
hili jambo sio la kubisha..!!!
Nmemskia Raymond Mzee... Mond amefanya kitu kizur sana awanyanyue madogo then kaz aanze kupiga kwenye studio yake bt kwa jina lake lilivyokubwa nlipenda aanze kupiga live band atatisha sana mzee
VP kuhusu matokeo ya tuzo za kora awards-2016.
Wanatuzingua.
Team Kora-2016 hawaweki Big Results Now kwanini.?
Wadau?
Na hizo ndio athari za BIA ZA MAKARATASI.Mwanamuziki mkongwe kwenye game la Bongo Fleva, Juma Nature, amesema yupo tayari kupambana na Diamond Platnumz kwenye game la muziki 'live" na show ifanyike uwanja wa taifa
Ameyezungumza hayo alipokuwa kwenye show ya 'Friday Night Live' usiku wa kuamkia leo ambapo amefunguka kwa kusema kuwa Diamond ndiye anakalia game ya muziki nchini kwa sasa, na muziki ni furaha basi anataka kupambana naye kwenye uwanja wa Taifa na mashabiki wakitazama huku kusema nani ni mshindi
Juma Nature anaamini kuwa Diamond ndiye kaiteka game kuliko Alikiba, Nakusema ndiye anaweza kushindana naye kwenye game la muziki. Hivyo kama viongozi wapo tayari kuunga mkono na kutengeneza muziki mzuri basi waandae tamasha hilo.
Me siyo shabiki maandaz Mzee naelewa muzikKumbe huwa unajielewa muda flani... Wasanii sio substitutes, ukilifahamu hili huwezi kupata shida...!!
Nature jukwaan siyo mtu mzuri asije mtu AKATHUBUTU hahahahaaaa ataoga aibu ya mwakaNature ndio rais wa Temeke,
Mshaurini Diamond asithubutu kukubali hilo pambano,
Ataangukia pua na kuvunja pingili za mgongo bureeee.
(UTAONA WATU WATAKAVYOPANIC SASA :-D)
Humkumbuki? si yule alitaka kushindana na Sinta alafu aliposhindwa, akaanza kulia "inaniuma sana......" Sasa anataka tena mashindano akishindwa aanze kulia tena.juma nature ni nani naomba kujua wadau
oh yule mwembamba ,mdogo mdogo hivi[emoji33] [emoji33] [emoji33]Humkumbuki? si yule alitaka kushindana na Sinta alafu aliposhindwa, akaanza kulia "inaniuma sana......" Sasa anataka tena mashindano akishindwa aanze kulia tena.
Walaaaaa hatuna ugomvi nae kaongea yake basi hatuna shida na mtu sisiJuma Nature anatafuta ugomvi na mashabiki wa Ali Kiba. Yaani Kiba hawezi kushindana na Diamond? Mi simo!
Usimfananishe Harmonize na mambo ya kipumbavuHivi ali kiba na harmonize nani mkali??
Zile anazosomba tuzo Diamond, vipi kiba kule haruhusiwi?Nchi zenye mziki wao zipi?
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Juma Nature anatafuta ugomvi na mashabiki wa Ali Kiba. Yaani Kiba hawezi kushindana na Diamond? Mi simo!
Zitaje kuwa specific usiwe general kwenye majibu.... Zitaje hizo nchiZile anazosomba tuzo Diamond, vipi kiba kule haruhusiwi?
Endeleeni kujitekenya afu mnacheka wenyewe..Usimfananishe Harmonize na mambo ya kipumbavu
Dogo sasa hivi yupo viwanja na timu kubwa kuanzia mama, bintie na partner wake plus wadau wake katika kazi, na hii inaonyesha yupo vizurianataka atembelee nyota ya diamond kama ali kiba...
mziki wamefeli wenyewe walipopata fursa sasa mwenzao ameishika wanataka watumie kushindana nae nao waonekane na kutajwa tajwa..
hakuna haja ya mashindano uwanjani.. do your best mashabiki tutaona uwezo.
sijawai kuona diamond akiomba mashindano na mtu
Utunzi upi wa nyimbo bila vina muulize Niki mbishi atakujibu kuhusu utunzi wa domo anasema kwa wabana pua domo anafata taratibu zote za utunzi kiba labda kubana pua tu ndo anachomshindia domo lkn utunzi kiba atasubili sana kubali kataa lkn ukweli ndo huwoSkiza me naskiza zote Mzee na ndo maana najua hata tofauti ya hawa madogo wawili sawa mheshimiwa diamond msanii mzuri ila utunzi na sauti kaachwa hiyo mfuate mtu yyte anayejua muziki atakwambia