playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
Nazungumzia MUZIKI unazungumzia USHABIKI hatuez elewana sawa kiba hana vina wala nn ila kasome fasihi aina za fasihi kajifunze juu ya wanamapokeo na wana usasa afu skiza vizur nyimbo za kiba kisha oga lala.Unajua nyimbo za kiba hazinaga vina anaimbimba tu
Utunzi upi wa nyimbo bila vina muulize Niki mbishi atakujibu kuhusu utunzi wa domo anassma kwa wabana pua domo anafata utaratibu zote za utunzi kiba labda kubana pua tu ndo anachomshindia domo lkn utunzi kiba atasubili sana
Ivi ww jamaa kiba mziki kaanza lini na kabla ya izo tuzo za mwaka Jana kiba alikuwa hajawai kuwa nominated unafurahisha Sana sana ww kaka kiba kaanza mziki 2005 uko domo kaanza 2009 but nani mwenye mafanikio kweny mziki nyie mashabiki wa kiba huwa nahisi uelewa wenu mdogo sanaUsikimbie swali elewa swali walikuwa wote kategori ngapi hizo tuzo???
Ww jamaa nina mashaka na uelewa wako utakuwa una uelewa mdogo sana umesema utunzi nimekujibu but umekimbilia kwenye fasihi ww akili ndogo ebu ekezea nn maana ya utunziNazungumzia MUZIKI unazungumzia USHABIKI hatuez elewana sawa kiba hana vina wala nn ila kasome fasihi aina za fasihi kajifunze juu ya wanamapokeo na wana usasa afu skiza vizur nyimbo za kiba kisha oga lala.
Nature mwenyew kamzarau kibakuli kasema hana kiwango cha kushindana nae labda mnyma diamondmajibu unayo tutapoteza muda tu hapaa...
Mziki sio mapambano.
Usidandie tren kwa mbele Mzee au we msemaji wa familia?Ebu kasome tn vizuur comment yake hlf ndo umjibu.
Kwa mfano....wapi alibebwaUkwel mchungu ni kwamba wakat wote Diamond anabebwa. Anae bisha na aendelee kubisha
Teh teh.. Hayo ni maoni na maono yako braza.....
Baki na imani Hiyo.....
Fasihi Ina matawi pamoja na mziki sawa but nachotaka kujua kutoka kwako nn maana ya utunzi kwa uelewa wako.....no!ekwambia iv kiba Anachomzid domo ni kubana pua tu lkn ukiangalia utunzi kiba akasome nymbo zake nyingi hazina vina na mizani anaimba imba kama nyimbo za aic chang'ombe vijana choirHahahahaaaa ubaitenganishaje sanaa ya muziki na fasihi kiazi ww hahahaaaaaa sikujua kama najibishana na mwehu.
2010 ndo diamond up coming alichukua tuzo tatu mbele ya king mavi wako mpk alitishia kujitoa.....mshukuruni wema sepetu kwa chapuo alilowafanyia na kama kweli kiba anaamini mziki wake mkubwa ajaribu kumzingua sepenga kama utamsikia tenaHujajibu swali unasema hajawah kuwa nominated wakat mtu alichukua tuzo kiaz ww
Muziki umechelewa sana kufuatilia poleeeee... Mond intake yake na belle na watu walizungumzia sana Mond kuchukua tuzo tatu mbele ya belle na siyo kiba kimba la mwisho ww hahahahahaaaaaa.....2010 ndo diamond up coming alichukua tuzo tatu mbele ya king mavi wako mpk alitishia kujitoa.....mshukuruni wema sepetu kwa chapuo alilowafanyia na kama kweli kiba anaamini mziki wake mkubwa ajaribu kumzingua sepenga kama utamsikia tena
Unapenda sana kutukana mkuuMuziki umechelewa sana kufuatilia poleeeee... Mond intake yake na belle na watu walizungumzia sana Mond kuchukua tuzo tatu mbele ya belle na siyo kiba kimba la mwisho ww hahahahahaaaaaa.....
Kila mara nakwambia ww akili ndogo na sishangai coz team kiba wote ndo mlivo akili size za diclopa so sishangai......bila sepenga ata izo tunzo za mwaka jana mngezisikia kwny bomba tu......tunaongea kuhusu kiba unatuletea belle 9 unajielewa kweli wwMuziki umechelewa sana kufuatilia poleeeee... Mond intake yake na belle na watu walizungumzia sana Mond kuchukua tuzo tatu mbele ya belle na siyo kiba kimba la mwisho ww hahahahahaaaaaa.....
juma nature ni mkaliii wa jukwaaaniiiii balaaaaa ...yaanii akiiingiagaaa tuu kalee ka mdundo ka wimbo mwanzoniii watuuu mzukaa juuuu hata ww unaweza jikuta unasema woyooooooo...huyu jamaa ni hatarii mfano chukuliaa ka wimbo ka mgambo wanaluka na kukanyagana kanavyoanzagaa..mkali wa free style alikuwa ngwair lakini wa jukwaanii ni juma nature sio diamondJuma nature mjanja kidogo sio sana.
Anatafuta kick .
Hawa hawachelewi kusema
Serikali haiwajali...