Saana tuuanataka atembelee nyota ya diamond kama ali kiba...
mziki wamefeli wenyewe walipopata fursa sasa mwenzao ameishika wanataka watumie kushindana nae nao waonekane na kutajwa tajwa..
hakuna haja ya mashindano uwanjani.. do your best mashabiki tutaona uwezo.
sijawai kuona diamond akiomba mashindano na mtu
Mkuu kwa kifupi diamond sasa ni global citizen!tumpe heshima yakeHawez kuomba coz kuna watu hawawez till now nature yupo sawa na mkatae mkubali diamond kimuziki atasubir sana kwa Kiba yaani hiyo kubalini au kataeni
Hiyo maana umetunga au ndicho walichomaanisha hapoAliposema Anataka Kupambana Na Diamond Uwanja Wa Taifa, Hii Ni "Dili" Ya Pesa Mkuu Aujashtuka?? Si Mapambano Ni Mapambano Kwa Maana Ya "Dili"
Mi niko poa tu,mwaka umeingia vizuri nashukuru mungu basi ingia kupitia hapa Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa au na huyu mwingine ingia kupitia hapa Ali Kiba Fans' Special Thread...Samsun Mambo?heri ya mwaka mpya!!kwani zile thread zetu za Diamond na Allykiba Special Thread zimeondolewa?mbona sizioni???
Hata ww anasumbuliwa na ushabiki coz mm natoa fact ww unatukana wapi na wapi haki ivo ivo tu akili kisodaUnazungumzia USHABIKI Mimi nazungumzia MUZIKI ngumu kuelewana.
unaota weweHawez kuomba coz kuna watu hawawez till now nature yupo sawa na mkatae mkubali diamond kimuziki atasubir sana kwa Kiba yaani hiyo kubalini au kataeni
Kiba amnyime nanivusingizi,hebu niombe radhi afadhali ungeniambia shetta ningetetemekaKiba atawaua nyny hahahahaaaaa Bongo yake hii haimsumbui na ndo maana mond hashindanishwi na Belle, jux, Ben pol wala nani semeni tu ukweli kwamba jamaa ni hatari na anawanyima usingizi
Global citizen ambaye south hawajui anapotokea wala muziki anaoufanya?.. Kuwa serious bas.Mkuu kwa kifupi diamond sasa ni global citizen!tumpe heshima yake
Haya mwenye akili Nyingi kavumbue ndege na ss Tanzania tujigambe.Hata ww anasumbuliwa na ushabiki coz mm natoa fact ww unatukana wapi na wapi haki ivo ivo tu akili kisoda
We jitekenye tuu tena shetta mbali sema BESTI NASO au JEBI kbsaaaKiba amnyime nanivusingizi,hebu niombe radhi afadhali ungeniambia shetta ningetetemeka
Mkuu shirikisha basi ubongo kidogo,huwezi hata kugoogle!..hiyo habar ni toka Kenya,sasa jiulize kama Kenya hawamjui au in makusudi!Global citizen ambaye south hawajui anapotokea wala muziki anaoufanya?.. Kuwa serious bas.
Jitekenye tuuu gazet hilo nmekuwekea Mzee me sina neno NASEEEEEEPA napataje muda wa kujadili kitu kilicho wazi kwa mfano??????????????...sidhani kama nna muda huo mpe hi KENYAN RAPPER #diamondplatnamzMkuu shirikisha basi ubongo kidogo,huwezi hata kugoogle!..hiyo habar ni toka Kenya,sasa jiulize kama Kenya hawamjui au in makusudi!
mkuu me huwa nakushangaa sana Ila tatizo ni ushabiki ulopitilizaGlobal citizen ambaye south hawajui anapotokea wala muziki anaoufanya?.. Kuwa serious bas.