Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Mkongwe wa ujiji akina Mzee Mbano akina sheikh kakolwa sheikh kiumbe Mzee kiburwa sheikh Karita Mzee manju msambya na wakongwe wengine
Wasemeje ikiwa nawe ni mkongwe
Kigoma Ujiji wenyewe kina Marehemu Mzee Jabu alikuwa ana nyumba pia Ilala Shariff Shamba. ila sio mbaya wapo vijana leo hii wenye ujiji yao waje kutusaidia hapa kina Dennis Ntaita Rashid Mzee wa posta Simba na Sele wa Saratoga...
 
Uliyesema amerithi kazi Njemba anafanya kazi zipi sasa kama bado mnasema "Njemba angekuwepo.....!!!?"

Duuh unasema na hata sasa ,Kigoma uwaza kuhusu Juma Njemba juu ya kiongozi wetu wa sasa alivyo,wafanye yao tu maana hakuna namna.
 
Watoto wake hawakusoma shule mkuu..Kwake ilikuwa ni " boko haramu" ..Walisoma madrasa tu na yeye ndio.alowasomesha Quaran Tukufu
Watoto wake wamesoma shule za msingi mbili wapo waliosoma Kaluta Primary na wapo waliosoma Azimio Primary

Wapo waliosoma elimu ya Sekondari pale Dodoma Bihawana sec school km 32 toka Dodoma Mjini.

Wapo waliosoma Tabora girls na Buronge Sec iko Gungu Kigoma
 
Mkongwe wa ujiji akina Mzee Mbano akina sheikh kakolwa sheikh kiumbe Mzee kiburwa sheikh Karita Mzee manju msambya na wakongwe wengine
Wasemeje ikiwa nawe ni mkongwe
Wakongwe wa Ujiji ni Said Arobati, Saleh Ndauga, Kabeke, Kitama, Njemba, Omari Kakolwa, Sheikh Kitumba, Sheikh Khalfan, Yusuf Tosiri, Abdallah kitenge, Mussa Rehani, Abdallah Chakuwa, Ganja Smoking, Saadan Abdul Kandoro, Snow White, Mohammed Saddallah, King Seleman, Issa Maganya, Mzee Mnukwa, Abubakar Mwilima, Jumapili Kasongo, Mzee Kocho, Issa Sadiki, Mzee Saliboko, Nk
 
Acha uongo
 
Ndio maana nikamueleza hakutafiti, Mwinyi Mbegu jamaa mi Rahim nazumgumzaji mzuri sana, pia mwanae mmoja amewahi kufanya Kazi Mwananchi Newspaper miaka 2002 pamoja na kina Absolum Kibanda, Deodatus Mkuchu, Huyu mwanahabari kafa juzi anaitwa Shadrack Sagati nk

Huyu muandishi ni mpevu wa masala ya historia, jamaa kama Mohammed Said. Sasa Likud angeuliza sisi tunaoifaham ile familia toka zamani
 
hahahahah
 

Dah huyu mzee kasim alifariki!! Alikuwa na mabot yakutosha pale kibirizi!!
 
Likud uzi wako umekuumbua yaani hujui kitu kabisa. Bila shaka una macho mekundu na maimani ya kishirikina
Anaishia kuwaambia watu matapeli utadhani kuna mtu kaambiwa achangie senti yake

Ni ngumu kuunyamazia kimya uongo na nilimwambia hakufanya tafiti vyema Kama Wale waliodai Abdul nondo aweza asiwe raia

Tukimwambia Abdul Nondo ni ktk jamaa wa Mzee njemba atakataaa pia

Abuu fiiyza komea hapo hana hajualo kuhusu Huyo Mzee itakuwa amesikia kijiweni kaleta thread apate credibility anapingwa kwa rejea za uzani anakomea Kuwaita watu matapeli mvutuwe huyu
 
Hapo kwenye mwaka Wa kifo chake nadhani umekosea mkuu...ila sina uhakika....nakumbuka alikuwa anakaa mitaa kama unaelekea solo LA kagera..tulikuwa tukipita pale tunaambiwa tusipige kelele...siku moja nilimkuta ameket pale barabaran kwake chini ya mti nilitetemeka.
 
Dah huyu mzee kasim alifariki!! Alikuwa na mabot yakutosha pale kibirizi!!
Juma Njemba hakuacha wajukuu wenye uwezo wa kuwa waganga kwa umri wao, wote wapo mashuleni wakisoma.

Pili hata walio na ujuzi ule wamewekewa viwango maalum vya kutumia ufundi wao kwa kadiri ya makuzi yao.

Baba yao alipokuwa na miaka Kama yao hakuwahi kuonesha uwezo wake aliokuwa akiuonesha kwenye uzee wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…