Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Hapo kwenye mwaka Wa kifo chake nadhani umekosea mkuu...ila sina uhakika....nakumbuka alikuwa anakaa mitaa kama unaelekea solo LA kagera..tulikuwa tukipita pale tunaambiwa tusipige kelele...siku moja nilimkuta ameket pale barabaran kwake chini ya mti nilitetemeka.
Amekosea katika kila jambo mzee Njemba aliishi kwenye mtaa uliokuwa na jina la labial lake " Wahombo" ni barbara ya 3 toka Kituo cha basi cha mwisho cha zamani ambako zipo ofisi za ACT MKOA.

nyumba yake ilikuwa na miti minne mbele ya nyumba aina ya misonobari, alipenda kukaa juu ya kiti chink ya mti mmoja pale, wengi walipita kwa nidhamu sana, lakini hakuna aliyevunjikiwa na heshima au kuhofishwa.
 
Hapo kwenye mwaka Wa kifo chake nadhani umekosea mkuu...ila sina uhakika....nakumbuka alikuwa anakaa mitaa kama unaelekea solo LA kagera..tulikuwa tukipita pale tunaambiwa tusipige kelele...siku moja nilimkuta ameket pale barabaran kwake chini ya mti nilitetemeka.
Alifariki 24/11/2007 usiku wa Alhamisi na alizikwa Ijumaa saa kumi alaasir. Na ni hakika mtaa wake hupitiwa na watu kwenda Kagera sokoni
 
Amekosea katika kila jambo mzee Njemba aliishi kwenye mtaa uliokuwa na jina la labial lake " Wahombo" ni barbara ya 3 toka Kituo cha basi cha mwisho cha zamani ambako zipo ofisi za ACT MKOA.

nyumba yake ilikuwa na miti minne mbele ya nyumba aina ya misonobari, alipenda kukaa juu ya kiti chink ya mti mmoja pale, wengi walipita kwa nidhamu sana, lakini hakuna aliyevunjikiwa na heshima au kuhofishwa.
Mkuu ww unamjua sana ..hujakosea
 
Juma Njemba hakuacha wajukuu wenye uwezo wa kuwa waganga kwa umri wao, wote wapo mashuleni wakisoma.

Pili hata walio na ujuzi ule wamewekewa viwango maalum vya kutumia ufundi wao kwa kadiri ya makuzi yao.

Baba yao alipokuwa na miaka Kama yao hakuwahi kuonesha uwezo wake aliokuwa akiuonesha kwenye uzee wake
Kuna Mzee alikuwa akisimulia jinsi juma njemba alivyopata elimu ile na wenzake na mwalimu wao ..aisee ujiji ilitisha Ni hatari
 
Kuanzia katikati ya miaka ya themanini hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 huko mkoani Kigoma aliishi " fundi " mmoja aliye julikana kwa jina la Juma Njemba.

Juma Njemba alikuwa MTU hatari sana katika masuala ya ulozi na alijikita zaidi katika kazi ya kuua watu kwa uchawi.

Sifa za Juma Njemba zilienea katika mji wa kigoma na nchi jirani za Kongo, Burundi na Rwanda.

Mamia ya watu kutoka sehemu mbalimbali walifurika kilingeni kwa Juma Njemba kwa ajili ya kazi moja tu ambayo ni kuwaua adui zao kwa kutumia uchawi wa Juma Njemba.

Kazi hii ya kuua watu kwa uchawi ilimtajirisha sana bwana huyu.

Kwa zaidi ya miaka ishirini aliyo Fanya kazi hii, Juma Njemba anakadiriwa kuwa amewauwa kichawi takribani watu elfu mbili na ushee ambao ni sawa na wastani wa karibu watu mia kwa mwaka

Juma Njemba alioa wanawake wengi sana .Anakadiriwa kuwa alioa zaidi ya wanawake 200 huku wengi kati yao akiwa anawaoa na kuwaacha na aliwaacha kwa sababu ndogo sana.

Kwa mfano akiwa anakula chakula halafu kikawa kimezidi chumv, au chai ikapungua au Kuzidi sukari au akatafuna jiwe kwenye wali basi mwanamke aliyepika chakula hicho atapewa talaka tatu papo hapo na wataliki wake wote walikuwa wanaishia kufa katika mazingira ya kutatanisha baada ya muda mfupi na walio bahatika kuishi basi waliishia kuwa vichaa au kuugua maradhi mazito kama vile kiharusi nakadhalika.

KATIKA HILO SABABABU YAKE ILIKUWA " WAKE ZANGU KWA MAISHA NINAYO ISHI MIMI SIWEZI KWENDA PEPONI..PEPO YANGU NI HAPA HAPA DUNIANI ..PEPONI HAKUNA WALI WENYE MCHANGA WALA ULIOZIDI CHUMVI..SITAKI KUPATA TABU YA AINA YOYOTE ILE HAPA DUNIANI NA YEYOTE ATAKAE NISABABISHIA TABU YA AINA YOYOTE ILE BASI NITAMFUTILIA MBALI..."

Ukiachilia mbali mke wake wa kwanza na wa pili ambao aliwaoa wakati wa ujana wake kabla hajapata hiyo ilmu ya kuua watu kwa uchawi wake zake wote alikuwa anawaoa wakiwa bikira na alikuwa akiamini.wakeze hao walikuwa ni ma hurulain wake wa hapa DUNIANI.

Akimpenda binti yako basi anatuma tu ujumbe kuwa siku fulani atakuwa mgeni wako ambapo atakuja kumposa binti yako na hakuna mzazi ambae alikataa kumuozesha bintiye kwa Juma Njemba.Walio thubutu kufanya hivyo walikufa wao au binti zao au wote kwa pamoja..

MTU huyu aliogopwa kama Mungu..Wageni walio Tembelea katika kata aliyo ishi kwa sababu mbalimbali walikuwa wanaenda kuripoti na zawadi kwa Juma Njemba na wakati wa kuondoka walienda kumuaga kwa heshima zote.

Siku moja moja.alikuwa anapenda kuhemea soko kuu la pale Ujiji Kigoma.

Wafanyabiashara wa sokoni hapo walikuwa wakimuona walikuwa wakijipendekeza kwa kumuomba wampe bidhaa zao bure.

"Baba pitia hapa dukani kwangu uchukue walau kilo kumi za nyama baba ..Hii ni swadaka yangu kwako "

" Baba ukitoka buchani upitie hapa kilo 20 za mchele bill itakuwa kwangu" .Hayo ni maneno ya baadhi ya wafanya biashara wakijipendekeza kwa Juma Njemba.

Hata hivyo Juma Njemba alikuwa akikataa ofa hizo za nidhamu ya uwoga kwa kuwaambia kwamba yeye ana uwezo kuliko wao.

Ilikuwa ukimdhulumu MTU basi ataenda kulalamika kwa Juma Njemba halafu Juma Njemba atatuma ujumbe wa kukuita na ukifika atakwambia ulimpe deni lake.

Juma Njemba alifariki mwaka 2001. Waliokuwa NAE karibu wakati wa kifo chake wanasema kilikuwa ni kifo cha mateso makubwa sana..

Watu wa Kigoma waliposikia Juma Njemba amefariki walifanya sherehe kubwa sana.

Juma Njemba alifanya vituko na matukio Mengi sana ya kichawi ..Nikipata nafasi nitakuwa natupia kimoja baada ya Kingine ili watu waweze kujua
Watu wa Kigoma wanaamini sana ujinga wa uchawi,sasa nae huyo Juma mbona alikufa, ngoja tumsubiri mh Zitto aje atusimulie kwanza,sijui nae kama ana mini hizo shughuli
 
Ndio maana nikamueleza hakutafiti, Mwinyi Mbegu jamaa mi Rahim nazumgumzaji mzuri sana, pia mwanae mmoja amewahi kufanya Kazi Mwananchi Newspaper miaka 2002 pamoja na kina Absolum Kibanda, Deodatus Mkuchu, Huyu mwanahabari kafa juzi anaitwa Shadrack Sagati nk

Huyu muandishi ni mpevu wa masala ya historia, jamaa kama Mohammed Said. Sasa Likud angeuliza sisi tunaoifaham ile familia toka zamani
Hahahaha jaribu tena mkuu ila haibiwi MTU hapa
 
Juma Njemba hakuacha wajukuu wenye uwezo wa kuwa waganga kwa umri wao, wote wapo mashuleni wakisoma.

Pili hata walio na ujuzi ule wamewekewa viwango maalum vya kutumia ufundi wao kwa kadiri ya makuzi yao.

Baba yao alipokuwa na miaka Kama yao hakuwahi kuonesha uwezo wake aliokuwa akiuonesha kwenye uzee wake
Acha kudanganya watu mkuu ..I will expose you
 
Alifariki 24/11/2007 usiku wa Alhamisi na alizikwa Ijumaa saa kumi alaasir. Na ni hakika mtaa wake hupitiwa na watu kwenda Kagera sokoni
Who are you trying to fool.here? Tarehe 24 /11/2007 ilikuwa Jumamosi na sio Alhamisi kama unavyo jidanganya ukidhani utawashawishi watu wakufuate ...Narudia tena acha ujinga mkuu..acha ulaghai na utapeli..Juma Njemba alifariki mwaka 2001 na aliyerithi mikoba yake alikufa muda mfupi baada ya arobaini ya Juma Njemba ...Acha utapeli mkuu I will expose u
 
Who are you trying to fool.here? Tarehe 24 /11/2007 ilikuwa Jumamosi na sio Alhamisi kama unavyo jidanganya ukidhani utawashawishi watu wakufuate ...Narudia tena acha ujinga mkuu..acha ulaghai na utapeli..Juma Njemba alifariki mwaka 2001 na aliyerithi mikoba yake alikufa muda mfupi baada ya arobaini ya Juma Njemba ...Acha utapeli mkuu I will expose u
Nakumbuka nimepata taarifa za msiba wake muda mfup baada ya kuondoka kigoma.Nimeondoka kigoma rasmi tarehe 18 may 2007.
 
Huu nao ni aina ya uongo mkubwa. Alikuwa hadi Bure akiwatumikia watu, na Zaidi wakileta pungufu huwasamehe

1. mkuu, hapo nilipo bold na kupigia mstari nikuwa,"sio watu wakipeleka pungufu" ila ni wakileta pungufu?
kwa sentensi hiyo inaonyesha au umeonyesha kwa mausudi wewe ni sehem ya familia au ni mtoto wake?

2. Kama binti yake wa mwisho alizaliwa 1994, kwahiyo most likely alimzaa binti huyo yeye akiwa na umri wa miaka 76 au zaidi right? Na mama wa huyu binti kuna uwezekano yupo hai bado, maana inaonyesha hakuwa wa makamo sana.

3. kwa namna unavyo andika, hivi wewe sio kweli yule mwanaye ambaye ni mwandishi wa habari?

BTW, mleta uzi #Likud ni mtu ambaye ana heshima sana hapa jukwaani na, binafsi huwa sinaga mashaka naye kabisa pamoja na nduguye #barafu

Sijaona tofauti kubwa sana baina yenu juu ya Mzee Juma Njemba, kwani wewe AbuFizzer umeeleza katika kuigamia only positive side yake, jambo ambalo yeyote angefanya katika kuitetea familia yake......na #Likud ameeleza the otherside ya coin ulioishika!
 
1. mkuu, hapo nilipo bold na kupigia mstari nikuwa,"sio watu wakipeleka pungufu" ila ni wakileta pungufu?
kwa sentensi hiyo inaonyesha au umeonyesha kwa mausudi wewe ni sehem ya familia au ni mtoto wake?

2. Kama binti yake wa mwisho alizaliwa 1994, kwahiyo most likely alimzaa binti huyo yeye akiwa na umri wa miaka 76 au zaidi right? Na mama wa huyu binti kuna uwezekano yupo hai bado, maana inaonyesha hakuwa wa makamo sana.

3. kwa namna unavyo andika, hivi wewe sio kweli yule mwanaye ambaye ni mwandishi wa habari?

BTW, mleta uzi #Likud ni mtu ambaye ana heshima sana hapa jukwaani na, binafsi huwa sinaga mashaka naye kabisa pamoja na nduguye #barafu

Sijaona tofauti kubwa sana baina yenu juu ya Mzee Juma Njemba, kwani wewe AbuFizzer umeeleza katika kuigamia only positive side yake, jambo ambalo yeyote angefanya katika kuitetea familia yake......na #Likud ameeleza the otherside ya coin ulioishika!
AbuFizzer ni tapeli na wewe utakuwa mwenzake tu..Acheni.kuhadaa watu nyie..wana.jf kuweni makini na.matapeli.hawa...be warned
 
Back
Top Bottom