LIKUD hiyo ya kufa na hiyo ya kupikwa kwenye pipa alifanyiwa zzk hadi leo ndio maana anajiamini yule mtoto , na ukicheza na zitto kwenye mila anakuondoa , yule dogo alifaidi dawa zile wengine tulishtuka alishakufa.
Yaani na wewe umeshawahi kushiriki!?hapo kwenye kuua mlikua mnaingia kwenye chumba maalum kina giza halafu kinaletwa kitu kama kioo , pale alikua anakishika anakuuliza umedhamiria ukikubali basi yule mtu anavutwa kwenye kioo sasa unachagua afe taratibu au haraka.
Kwa hiyo kwa sasa hivi unalist yako ya waonevu unatamani washughulikiwe!Si nimesikia alikuwa hapendi uonevu wa viongozi kwa watu??
Hivi jamani ni kweli kabisa mmeshiriki hizi biashara! Mungu awatazame!ukikubali afe haraka mzee alikua na kisu kikali sana unachukua unachoma kichwani wewe mwenyewe basi mbaya wako kule muda huohuo anaaga dunia na ukisema afe taratibu achukue hata siku tatu walau wapeleke hospital wauguze kidogo ulikua unapewa sindano na kitambaa kwahiyo kile kitambaa kinalowana na kinalazwa kifuani kwenye kio kwenye ile sura ya mbaya wako unakua unachoma moyo taratibu huko mbaya wako anazidiwa kesho unachoma tena huko unasikia fulani hali mbaya ukija kumalizia sindano ikigonga kioo na mtu kwaheri.
1. Umepatia kwa kuwa mimi na mwanae tumekuwa na makuzi mamoja, mtaa mmoja, shule moja,
2. Umepatia bint huyo alizaliwa katika miaka huyo mzee akiwa na umri unaofanana na namba uliyoitoa.
3.hapa umeweka dhana isiyo sahihi ingawa namfahamu vema huyo mwandishi.
4. Hatuko sanjari, huyu kaandika defamation kwa mzee huyu mashuhuri, kadhalilisha jina lake, kabuni matukio, na kaisemea uongo familiar yake.
Lakini kwa mtazamo wako upo huru kulinganisha masala haya kwa kadiri ya vipimo vyako.
Nakupongeza kwa umakini wako katika hoja zako zote nne.
Kuna mantiki katika andishi lako na umetumia akili katika matumizi sahihi.
Muhimu mkatazeni Likud kutukana na aache kuharibu majina ya watu kwa uzushi.
Pamoja sana.halafu sur name yako unajua ni jina kubwa sana katika ulimwengu wa waganga na wachawi? Unamjua ndege wa porini anaitwa Msese ? Unajua kuhusu matumizi yake ? Ukoo wenu MNA uhusiano wa kiroho na huyo ndege au ni jina tu? MNA miiko YOYOTE mnayo ifuata kuhusu huyo ndege?
Kwa namna ya uandishi wako wewe ni Mtu wa Ujiji1. Umepatia kwa kuwa mimi na mwanae tumekuwa na makuzi mamoja, mtaa mmoja, shule moja,
2. Umepatia bint huyo alizaliwa katika miaka huyo mzee akiwa na umri unaofanana na namba uliyoitoa.
3.hapa umeweka dhana isiyo sahihi ingawa namfahamu vema huyo mwandishi.
4. Hatuko sanjari, huyu kaandika defamation kwa mzee huyu mashuhuri, kadhalilisha jina lake, kabuni matukio, na kaisemea uongo familiar yake.
Lakini kwa mtazamo wako upo huru kulinganisha masala haya kwa kadiri ya vipimo vyako.
Nakupongeza kwa umakini wako katika hoja zako zote nne.
Kuna mantiki katika andishi lako na umetumia akili katika matumizi sahihi.
Muhimu mkatazeni Likud kutukana na aache kuharibu majina ya watu kwa uzushi.
We jitafakari tu kwa muda wako, mnawazaga hela 24/7 na bado hamzipatiWabongo tunapenda sana story za namna hii, story za watu waliofanikiwa kimaisha, kujifunza walitokaje tokaje mpaka kufika level walizofika tunaonaga shobo.
Tunahitaji kukitafakari kama Taifa kwa ujumla.
Yaani mji uwe na simanzi kwa kuondokewa na mchawi mkubwa, unajua acha kumtetea huyo baba yako wewe!Aliumwa saratani, na alikuwa mtu mzima sana, alizidiwa maradhi yake akiwa kitandani kwake. Mwaka 2006/2007 na 2008 Kigoma Ujiji ilifiwa na wazee mashuhuri wakiheshimiwa kwa elimu zao. 2006 alikufa gwiji Akiitwa Selemani Apelee, mtu aliyekuwa na uwezo mkubwa wa kukabiliana na majanga kabla ya kutokea, (machale) kabla ya hatari alijua, na hats majambazi walipokusudia kumuua walimpiga sana kwa mapanga na marungu, na Zaidi hawakuweza walau kumjeruhi, walipoteza nao maisha. Waliona heri wamchome moto jambo ambalo halikufanikiwa pia moto haukuwa na nguvu ya madhara kwake.
Aliwaeleza wamuache na akawauliza iwapo wanataka kumuua kweli. Walipomthibitishia alijizingua na kuwaambia wamuue. Hapo walimpiga akafa.
Kisha 2007 alikufa Mzee Juma kwa saratani, waliwaeleza familiar na majirani zake kuwa atakufa kwa matadhi Yale, aliwaita wanae watatu wa kiume na kuwapa kila mmoja vitabu na elimu zake. Hivyo alipokuwa akiumwa alikuwa tayari ana warithi wanaosimamia kumuuguza na kumtunza, huyu mzee aliwaambia wanae karibu na kifo chake kuwa siku ya kufa kwake itakuwa Alhamisi inayoisha. Na kweli alikufa Alhamisi saa tano na nusu usiku.
Mji ulikuwa na simanzi kubwa kuondokewa nae, walizika, hakukuwepo na mahangaiko yoyote au miujiza ya kutisha katika kifo chake.
Siku ya tatu alitangazwa msibani mrithi wa Kazi zake, anaechukua jina la baba yake.
Wasichokijua watu ni kuwa Juma Njemba alikuwa chief wa kabila lake hivyo pia yupo miongoni mwa wanae ni chifu. Hata Yule aliyegombea urais na Magufuli akiitwa Chief Luta Losa Yemba wa chama anachoongoza Hamad Rashid wa kule Zanzibar ni motto wa mdogo wake Juma Njemba.
Mtu wa tatu akiitwa Issa Sadick huyu nae alikuwa mzee mwenye elimu kubwa na uganga mzito sana, watu wote hawa waliwasumbua wachawi na kuwapa taabu sana, wote walipokufa ilikuwa ni faraja kwa wachawi.
Wazee hawa walikuwa ni sehemu ya kimbilio la wengi, waliwaathiri watu wenye kuiba ndoa za watu, waliwaathiri watawala wenye majivuno, na kiburi na hata sass Kigoma huwaza kuhusu Juma Njemba kwa ajili ya mtawala wetu alivyo.
Mimi nimeamua kumuamini LIKUD huyu mwingine nahisi ni ndugu yake anamfichia aibu
Hahaaa....daah!Wala hukuwahi kumfahamu wala wajih wake huujui, wala Kazi zake huzijui wala hukuwahi kuzungumza nae.
Na ikiwa ni hivyo elezea nyumbani kwake kulivyo na namna wageni walivyokuwa wanakaribishwa.
Iwapo we're ni mkweli tufahamishe Kazi zake zilikuwa zinafanywa wapi na nani akizisimamia.
Wewe ni mwanawe njembaHuu nao ni aina ya uongo mkubwa. Alikuwa hadi Bure akiwatumikia watu, na Zaidi wakileta pungufu huwasamehe
Unaelekea kwa LIKUDHuna ujualo, Huna utakachofunguka, mzee Yule alikuwa an mwanafunzi wake aliyeishi nae an kumpa ufundi kwa miaka 34, humjui
Mzee Yule ana mwanafunzi wake yupo Dodoma eneo linaitwa Majengo humjui
Mzee Yule alikuwa na marafiki zake kina Sebastian Kinyondo, Gama, Mussa Kwikima
Wakuu wa mikoa waliridhika kumwita baba, viongozi wa nchi walimtembelea kwa uficho. Huna unalojua.
Alikua mushriki usimtetee kaka!we peke yako ndo umtetee...!!Kiukweli katika dua na maombi alijaaliwa sana. Wapo watu waliokuwa wakiwanyanyasa wafanyakazi wageni waliohamishiwa kikazi Kigoma, engine kwa ukirsto wao au kwa ugeni wao. Yeye aliwaita hao ni wanae, aliwatetea mno, kuanzia wakuu wa mikoa, wakuu wa polis, uhamiaji nk.
Hakuna aliyethubutu kumuonea mtu kwa sababu ya ukristo wake eti kwa kuwa miaka ile Ujiji ilikuwa na waislam wengi.
Na hakuna muislam aliyeonewa kwa dino yake au uswahili wake. Leo aitwa Sangoma huyu.
Kaishi vema na Padre Yusuf wa parokia ya Kusini Katubuka. Na kawatetea wakristo chungu tele. Hakuna haki ya kuwanyanyasa akisema " hawa ni watoto wetu, Mungu hana dini, binadamu ndio tuna dini" dini ni njia ya kufika kwake Mungu.
Akienda akirudi mnalooo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bosi wangu miaka ya 90 alikuwa anaenda sana kwa Juma Njemba. Akikorofishwa tu utamsikia "naenda kwa Njembs"
Weledi wako ungeuanzishia Uzi wakeMimi ni mweledi wa kinachozungumzwa hapa, najua ambayo hamuyajui.
Mungu awasamehe sana
Ndiyo.Kwa hiyo kwa sasa hivi unalist yako ya waonevu unatamani washughulikiwe!