Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Hahahahahahahh ni mtazamo tu huo, kuona miaka hii kuna watu wanaamini nguvu za Giza ni adabda kadabra tu.
Fanyeni am a muokoke au msilimu
 
Alioa mjukuu wake??? Au mjukuu wa vivuli vyake?
 
Ahsante umemalizaa...kwanza zile lugha si za kiarabu za kijini!!!yaani alikua mshirikina kama wengine!
 
Ahsanteee
 
Kaka mbona unarudiarudia kujinasibu kuwa una nondo nyingi kuhusu huyu Mzee??zitoe basi ila tunakusihi uzitoe nondo za ukweli sio uongo?Karibu
 
Namba 5. Huyo sio mwanafamilia ni tapeli na laghai..Kwanza wanafamilia na ukoo they even feel ashamed to be associated with him.
Huyo ni mjinga mjinga mmoja tu anataka uspuni ili akate goto
Yaani kwa lugha unayotumia, wewe unaamini katika uchawi na ushirikina kupita inavyoweza kudhaniwa
 
Kumbe we wakigomaa!!!
 
Nyote mlihadithiwa lakini hamkumuona, hamkuzungumza nae, hamkumuhoji, yaani nyie ni "third hand information" na bado mnaushawishi umma uwaelewe kuwa mlichoambiwa ni kweli.

Nacheka[emoji6][emoji847][emoji6]
Watembeleeni wachamungu mpate kuondolewa nira mashingoni mwenu.
 
Huyu tumemuumbua na kijihistor chake cha kuhadithiwa wakat kina sisi tumeishi mitaa yenyewe na tunamjua mzee juma kuliko yeye
Tens tumemuumbua vibaya!!
Katika dunia ya Leo kuleta story za "Zombi mla watu" ni mtihani sana. Haijalishi muislam au mkristo ukiwa mtanzania ukaamini kuwa kuna mtu alikuwa na power ya uzushi ya kubuniwa na kupachikwa , jikague hutoshi ama kuna upungufu wa afya ya makuzi, au kuna ujazo wa elimu hewa.

Iwe mzee huyo alikuwa ndugu yangu, iwe alikuwa jirani yangu, iwe vyovyote bado hakuwa na matendo aliyonasibishwa mayo katika uzi huu, hakuwa mchawi wala hakudhulumu maisha ya watu
 
Hakuna sehemu nimesema nilimuona wala kumfahamu
 
Nadhani kuna kitu unachanganya, mbona story ya kutundika koti ukutani bila hanger ofisini kwa RPC umekubali?? Hii inaweza Fanya na mtu wa kawaida? Asiekuwa na minguvu ya sirini?? Let close this,
 
Nadhani kuna kitu unachanganya, mbona story ya kutundika koti ukutani bila hanger ofisini kwa RPC umekubali?? Hii inaweza Fanya na mtu wa kawaida? Asiekuwa na minguvu ya sirini?? Let close this,
Kwenye issue ya koti ofisini kuna alilosema la kweli na lipo hakusema kweli nenda kasome komenti yangu vema.

Kweli ni kukamatwa kwa mwanae kwa kutuhumiwa kuzurura

Isiyo kweli ni kutundikwa kwa koti
Zaidi issue hiyo ya koti Ujiji ni maarufu sana kwa wazee Zaidi ya mmoja kiasi watu walishaamini kuwa hizo ni ngano zinazohusishwa na watu Fulani kuwakuza au kuwapa utajo kuwa ni wenye nguvu za miujiza.
 
Nadhani kuna kitu unachanganya, mbona story ya kutundika koti ukutani bila hanger ofisini kwa RPC umekubali?? Hii inaweza Fanya na mtu wa kawaida? Asiekuwa na minguvu ya sirini?? Let close this,
Binafsi hii story yakutundika koti hewani niliwahi kuisikia but muhusika alikuwa anaitwa juma mtale sio juma njemba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…