Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Lakini hao wote walikuwa hawaogopeki kasoro yeye.
Machief wengi tunajua walikuwa warozi.
 
hahaha nimekupenda bure
 
Hivi we jamaa una akili kweli?kuna mtu anaweza kusema baba yake alikua muuaji au mshirikina?
Kwani wewe unazo ziko sehem Gani?

Unawezaje kumwita mtu muuaji na mshirikina kwa vimaneno vya kuokoteza??

Jumaa Njemba ni muungwana ktk ujiji aliyeiishi ujiji kwa heshima kubwa
 
Kwa msingi huo aliyekuwa anaua ni Juma Njemba au hao waliokwenda kutimiza azma za kuua wenzao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…