Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Uchawi wa kimachame ni kuwatoa kafara waume zao ili wapate utajiri.Familia nyingi za kimachame wamama ndo matajir tena ni wajane baada ya kuua waume zao.
Hawana time na watu wa pembeni bali ndani ya familia baba na mama hujishughulisha kwa bidii na pale wanapofika ktk utajiri basi mama wakimachame humtanguliza mumewe mbinguni, hubakia wajane na kuanza kwenda kununua wanaume uko nchini Kenya.
 
pamoja na hivyo, bado watu wa mkoa wa kilimanjaro wana unafuu sana na masuala ya imani za kishirikina ukilinganisha na watz wa mikoa mengine.

mikoa ya huku kwetu imani ya ushirikana ipo juu sana.

kuna mwaka fulani baba yangu alitaka kuwajengea wazazi wake nyumba ya kisasa huko kijijini kwao songea.

bibi alimkataza kwa kuhofia kwamba kama baba angefanya hivyo, baadhi ya wazee wa kile kijiji wasingefurahi.

baba yangu angeuliwa kichawi kwa kosa la kuwajengea wazazi wake nyumba ya kisasa.

baba hakujari, akawajengea wazazi wake nyumba ya kisasa pale kijijini na mpaka leo ipo na wala hakupatwa na jambo lolote.

visa kama hivi huwezi kuvisikia uchagani, ndio maana ukitembelea vijiji vya mkoa wa kilimanjaro unakutana na majumba makubwa ya kisasa ambayo watoto wamewajengea wazazi wao.
 
aisee jamaa umefikiria sana
Simple logic, mwana familia hakuna mahali kazungumzia kwamba karithi hata tunguri moja.

Sasa LIKUD kakomaa na utapeli, watu kumfata jamaa PM, utapeli mwisho insta etc, kiasi mpaka nahisi ndo yalikuwa malengo yake kuanzisha thread.

Na kuna part amesema ataendelea, nina uhakika hataendelea nayo kwa sababu wana ukoo wameingilia kumlinda mdingi.
 
Bila kuroga duniani utapata pesa ya kula tu ndogo ndogo na kila biashara utakayofanya utaishia kupata hasara hata kama hiyo biashara uliifanyia utafiti wa kina na tathmin miaka 1000 bado utaishia hasara. Mshana jr njoo uwarlekeze pesa nyeusi ikoje.
Dah sitaki kurejea huko ndugu yangu.. Hakuna amani kabisa
 
Teh teh teh! watoto huwa wanabishana watu wazima huwa wanaelewana. League zinaendeshwa vilabuni.
 
Nashauri hii stori Ndalichako angeifanya ndyo mbadala wa ile ya Sadiki na Chitemo maana Stori Ya Sadiki na chitemo isha xpire
 
Haya ndio mambo tunayo yataka mkuu ..shusha nondo na Mimi badae nitashusha zangu..

Kuhusu kukwepa ajali inasemekana ndio zindiko lililo msaidia Zitto mwaka 2008 kwenye ajali ya Salome Mbatia..
Nawaoneni watani zangu watu wa KG
 
Wachagga kila siku nawaona huku Ludewa wanafuata uganga...Wachagaa sasa hivi ndio wanaongoza kutoa kafara ndugu zao ili wapate mali
 
u
Wachagga walipata bahati ya wakoloni kuweka makazi yao kilimanjaro kwa sababu ya hal ya hewa iliwavutia ukichanganya na mlima kilimanjaro...wakoloni wakajenga shule wachaga wakabahatika kupata elimu na wachaga hawakuwapa wakoloni upinzani waliwakaribisha na kuwanyenyekea.sehemu nyingine wakoloni walipata upinzani hawakuweza kukaa muda mref, mfano songea vita vya maji maji.....wachaga kuwa na maendeleo ni kutokana na usaliti wao wa kuwakaribisha wakoloni nao wakawajengea shule wakabahatika kupata elimu na kazi serikali na sekta binafsi...sio kama wachaga wana akili sana hakuna kukosa kwao uzalendo na muwakaribisha wakoloni kumewasaidia
 
basi sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…