Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Baada ya Likud kuanzisha uzi huuu kwa ajili ya kutapeli watu kaingia mitini


Baada ya wanaomfahamu Juma Njemba kutusimbulia historia yake
 
Namjua huyo njemba, kuna mtumishi mmoja alitembelea kigoma mwaka huo, wakamsimulia uchawi wa huyo Jamaa, akasema wampeleke akamuone, wakapita na Gari karibu na nyumbani kwake, bahati wakamuona amekaa mbele ya Nyumba yake, wakageuza na gari kurudi nyumbani.

Mtumishi akawaambia wadau kufika kesho huyu hatakuwepo, mtumishi kapunga mkono kuelekea mbinguni, the rest is history...
Sijaelewa
Au hukutaka tuelewe?
 
Write your reply...@laki si Pesa

kwahiyo hadi Leo uchumi wa Kilimanjaro unavyokua ni wakoloni?
ukiwa na akili kubwa maendeleo yatakuja tu ndio mAana uchagani inaendelea kumeremeta,tukiwakAribisha wakoloni ili watuletee maendeleo nyie mliowakataa mlipAta faida gani? mtaendelea kubaki maskini
hongra wazee wa kichaga kuasisi maendeleo ndio maana hadi Leo Kilimanjaro ni kitovu cha uchumi,ELIMU na maendeleo
 
Write your reply...@laki si Pesa

kwahiyo hadi Leo uchumi wa Kilimanjaro unavyokua ni wakoloni?
ukiwa na akili kubwa maendeleo yatakuja tu ndio mAana uchagani inaendelea kumeremeta,tukiwakAribisha wakoloni ili watuletee maendeleo nyie mliowakataa mlipAta faida gani? mtaendelea kubaki maskini
hongra wazee wa kichaga kuasisi maendeleo ndio maana hadi Leo Kilimanjaro ni kitovu cha uchumi,ELIMU na maendeleo
Kaa na waridi unukie uwaridi,kaa na mwenye Pesa upate akili ya Pesa.
 
Hakika hatujui mwisho wake kama alitubu au lah ni kama ya kina yahya hussein na jina la usheikh alijitangulizia, lakini aliendesha maisha yake kwa shirk. Shirk ndogo ndogo na kubwa humuondolea mja sifa ya kuwa muislam
shirki inayomuondolea mtu sifa ya kuwa muislam ni ipi!?..naomba aya tafadhali
 
Mkuu nakujaa kuandika kitabu cha huyo mtu atakuwa ni miongoni mwa watu watakaokuwepo kwenye chapters ya kitabu changu cha "The Crooks men ever lived in tz"...am comming all the way from Miami ........nina fund ya uandishi nimepata....
kuna kichwa kinaitwa Jombi...mby hiyo....Ali na ali and the like...
Naskia eti Ali naali aliwahi kushusha mikono ya ile picha kwenye chupa ya konyagi!
 
Hilo zindiko ni hatari sana linahitaji ujasiri wa hali ya juu..Alikuwaga pia na zindiko la kumzika MTU kaburini, MTU kupikwa kwenye pipa pamoja na Yale ya " kusafiri" kwenda kuzimu kama lile lililo muua Joseph Kabasele
Du ndo maana wanigeria wanaonekana wachawi kwa kutoa siri kwenye movie zao..
 
Kaka niamini mm watu wa kigoma sio mchezo niliishi kule 2 yrs nilijionea makubwa nikiwasimuli watu huwa hawaamini mfano kigoma kuna mganga anaweka kinga ya sumu akimaliza kitest unakunywa sumu ya panya uliyonunua mwenyewe ,kwa macho yangu alienisimulia alisaga vioo na kumeza na bia
Hiƴo kawaida kama ƙenya kuna mtu anakula viwemɓe anatafuna kama ɓig g ..anashushia na kandoro ndo menu yake! Fresh yan
 
Write your reply...@laki si Pesa

kwahiyo hadi Leo uchumi wa Kilimanjaro unavyokua ni wakoloni?
ukiwa na akili kubwa maendeleo yatakuja tu ndio mAana uchagani inaendelea kumeremeta,tukiwakAribisha wakoloni ili watuletee maendeleo nyie mliowakataa mlipAta faida gani? mtaendelea kubaki maskini
hongra wazee wa kichaga kuasisi maendeleo ndio maana hadi Leo Kilimanjaro ni kitovu cha uchumi,ELIMU na maendeleo
Unaeza kuta unaishi kwa shemeji alaf unajivunia eti wachaga wana maendeleo wakati wewe unatunza bustani ya shemeji yako
 
Back
Top Bottom