Ulitaka sasa Ummy apewe tuzo?Si unaona saa hizi anatafuta nafasi ya kufikiliwa 2025. Maana saa hizi ukitaka upewe nafasi huko we mponde Magu.
Hivi karibuni ummy mwalimu alitrend sana lakini alipomsifia mwendazake kupitia msd walivyoisimamia kwa sheria inayotumika sasa na ikafanya vizuri amepotezwa kabisa.
Mama kaona huyu kumbe sio mwenzetu. Sie tunapambana kuzima moto wa Magu ye anachochea kuni.
Sasa ilimsaidia vp kulinda ubunge wake?
Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.
Namnukuu
Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"
Pia soma
Ummy ni mkweli, Mungu akusimamie na hata kesho simamia unachoami na ukweli Mungu atakulindaSi unaona saa hizi anatafuta nafasi ya kufikiliwa 2025. Maana saa hizi ukitaka upewe nafasi huko we mponde Magu.
Hivi karibuni ummy mwalimu alitrend sana lakini alipomsifia mwendazake kupitia msd walivyoisimamia kwa sheria inayotumika sasa na ikafanya vizuri amepotezwa kabisa.
Mama kaona huyu kumbe sio mwenzetu. Sie tunapambana kuzima moto wa Magu ye anachochea kuni.
Walikuwa sio timu ya magufuri Wakati ndipo waliokuwa msitali wa mbele kuongezewa mda;na timu ya magufuri ilikuwa na akina nani? wakati mlikuwa mkisema hawa wametumwa na Magufuri kupima upepo.Walikuwa sio timu Mwendazake
Naomba mwenye ile pic ya kessy kainama bungeni aweke hapaππ€£Atake asitake tutamuongezeaπ€£π€£π€£
Bado Alli Kessi wa Nkasi nae aje atubu kwanini aliyaka Jiwe aongozewe mihula
Mi naona alikuwa na huruma Sana,Kama Kuna mtu alimdhuru yeye ndiye aliyemchokoza,wewe fikiria mtu anafoji cheti anakuwa mhasibu wa tasisi ya serikali aliyesomea nafasi hiyo yupo nyumbani hana kazi,halafu akinyofolewa anakuja kupiga kelele hapa eti JPM alikuwa katili,hamna alikuwa mtu mwema aliyependa haki kwa Mimi baada ya hapo wangeshitakiwa kwa kuiibia serikaliJiwe alikuwa Katiri sana !
Kwani hujamuelewa mwenyewe? Sifa Ili wadumuWalikuwa sio timu ya magufuri Wakati ndipo waliokuwa msitali wa mbele kuongezewa mda;na timu ya magufuri ilikuwa na akina nani? wakati mlikuwa mkisema hawa wametumwa na Magufuri kupima upepo.
Zee lilipenda sifaaaNkamia bhana, kwa hiyo hoja yako ni ipi.
Itakuja Kutokea Kwa Hangaya Pia. Ts a matter of Time Mzee WanguKesi ya kutaka kufukuzwa CCM.
Yani hata waliomsifia tunakuja kugundua kwamba wengine walimsifia kwa kumvika kilemba cha ukoka kwa kujua "Mzee alipenda sifa".
Si kwa dhati.