Juma Nkamia: Hayati Magufuli alitaka nifukuza CCM, kwakuwa alipenda sifa nikaja na hoja ya miaka 7 ya Urais

Juma Nkamia: Hayati Magufuli alitaka nifukuza CCM, kwakuwa alipenda sifa nikaja na hoja ya miaka 7 ya Urais

Si unaona saa hizi anatafuta nafasi ya kufikiliwa 2025. Maana saa hizi ukitaka upewe nafasi huko we mponde Magu.

Hivi karibuni ummy mwalimu alitrend sana lakini alipomsifia mwendazake kupitia msd walivyoisimamia kwa sheria inayotumika sasa na ikafanya vizuri amepotezwa kabisa.

Mama kaona huyu kumbe sio mwenzetu. Sie tunapambana kuzima moto wa Magu ye anachochea kuni.
Ulitaka sasa Ummy apewe tuzo?
 
Ameanika ujinga wake hadharani
Aliyekuwa Mbunge wa Chemba mkoa wa Dodoma amenukuliwa na Dar Mpya (blog) akisema kuwa alikataa Muswada wa Habari ambao ulilenga kuweka mazingira magumu kwa waandishi wa Habari.

Namnukuu

Magufuli alitaka kunifukuza @ccm_tanzania baada ya kukataa muswada wa habari ambao ulilenga kuwakandamiza waandishi wa habari. Mimi nina watoto na wanasoma,Kujinusuru nikaamua kubadili gia angani nikaja na hoja ya miaka saba na kwakuwa mzee alipenda sifa kesi ikaisha"

Pia soma
 
Si unaona saa hizi anatafuta nafasi ya kufikiliwa 2025. Maana saa hizi ukitaka upewe nafasi huko we mponde Magu.

Hivi karibuni ummy mwalimu alitrend sana lakini alipomsifia mwendazake kupitia msd walivyoisimamia kwa sheria inayotumika sasa na ikafanya vizuri amepotezwa kabisa.

Mama kaona huyu kumbe sio mwenzetu. Sie tunapambana kuzima moto wa Magu ye anachochea kuni.
Ummy ni mkweli, Mungu akusimamie na hata kesho simamia unachoami na ukweli Mungu atakulinda
 
Tehee tehee teee, lijiwe lilikuwa jinga kweli kweli, yaani baada tuu ya kupigia kinanda cha miaka 7 kesi ya kuupinga mswaada wa kikandamizi ikaisha
 
FB_IMG_1651360692320.jpg
 
Nafurahi kuona na kusikia aina ya viongozi tulio nao hapa Tanzania, mwisho wa siku bado adui yetu anaetuzonga sana wakati huu ni ccm na unafiki.
 
Jiwe alikuwa Katiri sana !
Mi naona alikuwa na huruma Sana,Kama Kuna mtu alimdhuru yeye ndiye aliyemchokoza,wewe fikiria mtu anafoji cheti anakuwa mhasibu wa tasisi ya serikali aliyesomea nafasi hiyo yupo nyumbani hana kazi,halafu akinyofolewa anakuja kupiga kelele hapa eti JPM alikuwa katili,hamna alikuwa mtu mwema aliyependa haki kwa Mimi baada ya hapo wangeshitakiwa kwa kuiibia serikali
 
Nimemsoma huyu jamaa nikajiuliza hivi watu wa namna hii akili huwa wanapeleka wapi? Huu upuuzi anaongea tena kwa kujidhalilisha unamjenga vipi?

Ni bora angenyamaza kuliko kudhihirisha upumbavu wake. Kuna watu walipingana naye wakiwa hai.hao ndiyo walikuwa wanaume hasa. Siyo hii mibwege inakuja kujikosha kwa upumbavu iliyofanya.

Huo muswada Juma Nkamia aliupinga chumbani kwake? Nkamia alikuja na hoja ya kipumbavu ambayo hata Magufuli aliona Nkamia ni Mpuuzi akampiga chini kwenye uchaguzi 2020. Huwezi kuwa na akili timamu ukalazimisha Rais aongezewe muda kinyume na Katiba halafu leo uje kujikosha.

Screenshot_20220508-140923~2.png
 
Back
Top Bottom