Juma Nyoso amdhalilisha John Bocco

Status
Not open for further replies.

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Hili jamaa ni disgrace kwa mpira hapa duniani, Msimu uliopita alifungiwa mechi 10 kwa kosa hilo hilo.

Leo karudia tena.

=============================
=============================


Chanzo; BoiPlus Blog
 

Attachments

  • IMG-20150927-WA0001.jpg
    101.3 KB · Views: 6,552
huyu jamaa kufungiwa maisha ni haki yake.. Hafai kabisa kucheza Ligi Kuu.. arudi tu kucheza ndondo.
 
Naskia nimeitwa ...ati nyoso kafanyaje...adhabu yake afungiwe mechi 50 au arudishwe kwa wauni wenzake msimbazi
 
Hivi huyu jamaa huwa anajifikiriaje! kiukweli ni jambo la kukera na kuudhi, huko nikumdhalilisha mwenzie, hakianani kama ndo mie uwanjani patachimbika, naomba tukemee na kuisambaza sehemu nyingi picha hii kukemea upuzi huu
 
Hili jambo ni la kukemewa na kila mpenda mpira
 
Hakika si tabia njema michezoni na mahali pengine popote kwani ni kitendo kidhalilishacho uanaume wa mtu...

Lakini kuna jambo moja huwa lanitatiza, hao wanaume wanaodhalilishwa mbona huwa wapo kimya tu hata hatujawahi kuona wakianzisha hata zogo?

Hivi kweli mwanaume rijali uguswe kalio halafu upotezee tu hivi hivi....mmmh!!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…