Juma Nyosso amekamatwa na Polisi baada ya kumpiga shabiki hadi kuzimia

Juma Nyosso amekamatwa na Polisi baada ya kumpiga shabiki hadi kuzimia

Wakuu baada ya Juma NYOSO, mshambuliaji wa Kagera Sugar kupigwa ban ya miaka miwili kwa kosa la kumtindua John bocco dole la kati[emoji108] leo tena almanusra amtoe meno shabiki
Nini ushauri kwa huyu bwana
Au kwa mamwela waliomkamata????
 
Wakuu baada ya Juma NYOSO, mshambuliaji wa Kagera Sugar kupigwa ban ya miaka miwili kwa kosa la kumtindua John bocco dole la kati[emoji108] leo tena almanusra amtoe meno shabiki
Nini ushauri kwa huyu bwana
Au kwa mamwela waliomkamata????
Juma Nyoso ni mshambuliaji siku hizi? Inabidi akapimwe akili huyo
 
Patrice Evra alimpiga teke tu shabiki lakin kilichompata anajuta mpaka leo na ishu ya nyosso kagera wanatakiwa wampe onyo Kali kisha tff wachukue hatua.
 
Mashabiki wa simba ni mambumbumbu ..

Hongera nyosso umemkosa Bocco umempata shabiki wa simba ,nilitaka kushangaa nyosso awaache simba salama?
hata hujaelewa...alikuwa ni shabiki wa k.sugar, alikuwa anazomea wachezaji wake, eboo!
 
Machungu ya kufungwa

Huyo aende tu akanyee debe gerezani mpira hauwezi..alianza kushika wanaume wenzie kwenye makalio sasa anapiga watu
naye aende segerea wakampakate....shwaini!!
 
Ila washabiki wanaboa, inasemekana huyo shabiki ni wa Simba na alienda akampulizia vuvuzela Nyosso tena usoni, ebu imajini mmefungwa alafu jamaa anakuja kukupigia makelele usoni na vuvuzela.
Hapo hata Gaucho angerusha ngumi, sasa imagine Nyoso [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
watu wengine niwagonjwa ...sasa ngumi moja ya Nyoso .inamfanya mtu anazimia...watu wamikoani awana lishe.
 
Leo naomba tujadili kuhusu mtu kupigwa ngumi moja nakuzimia...hivi kweli ngumi moja inaweza kumfanya mtu apoteze fahamu....au ni uwezo wa nguvu aliojaliwa Juma Nyoso....kutoka kwa Mungu.

Maana yule shabiki aliyepingwa ngumi na Juma Nyoso ...alipigwa ngumi moja tuu..ya mashavu.

Yaani Mimi bado nalifikilia ili swala sipati majibu..
Au shabiki alikuwa ajala ana njaa au alikuwa mgonjwa ...na je? kama alikuwa mgonjwa alipata wapi ujasir wakujibizana na Juma Nyoso.

Aisee watanzania tunabid tujitahd kuwa tunakura chakura chakutosha angalau milo minne kwa siku ..ili kujiweka fitness ...pia nakufanya mazoezi.

Leo ntamuagiza ndg yangu aliyeko huko Bukoba aende hospital ya rufaa (Government) ili amdadisi huyo shabiki aliyelazwa kwa kupigwa Ngumi moja na Nyoso kama alikuwa mgonjwa au lishe au ndo ivyo tu basi alikutana na ngumi ya zege.

Kiukweli naomba Juma Nyosso akitoka police leo aende apatiwe huduma ya kisaikolojia....kwa wataalamu ...Maana ile ngumi yake ya zege imetuogopesha sisi mashabiki.
 
Back
Top Bottom