Nyoso kweli kakosea ila kidhat kabisa, binafsi yangu hata mimi kipindi naudananda waduwanzi waduwanzi kama kama hawa nilikuwa siwacheleweshi nawatwanga ndonga tu..
Aliyecheza mpira anajua maumivu ya kufungwa mtu unafungwa mazoezini ila unakaribia kupasuka itakuwa huyu wa uwanjani game ambayo imekamiwa..
Simuungi mkono nyoso, ila nyoso nae binadamu, mshabiki yule ilikuwaje atoke huko alikotoka kumfata nyoso na kumpulizia vuvuzela, lawama kwake,
pili lawama kwa askari vip lile vuvuzel lingekuwa kisu je, nyoso angedhurika sijui kama tungekuwa tunaongea haya, kilichomponza nyoso ni mfululizo wa matukio yake huko nyuma laiti angefanya kaseja au mtu mwingine mwenye rekodi nzur huko nyuma isingekuwa ngumu kwake kiasi hiki kama kwke nyoso.
Uwanja ule nimeona unafensi kubwa tu, mipira iliyokuwa inapigwa na kutoka nje ilikuwa inaishia katika fensi, kuingia uwanjan kuna vigeti, fensi imetenganisha uwanja n mashabiki kama viwanja kadhaa vya ujerumani, sasa shabiki kilimuwasha nini kumfata nyoso uwanjani, usikute ana stress ya kupoteza game, labda na hela waliahidiwa na vyuma vilivyokaza kaishapangia na bajeti