Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Umasikini umeletwa na msaliti wa Nchi Lissu
Ni LAANA KUBWA SANA kuchagua mtu ambaye atakuletea UMASIKINI kwenye nchi yako na anayeona ni sawa kua MASIKINI ...Kwahio watanzania zaidi ya MILIONI 35 mioyo yao imejaa sura ya Tundu Lissu na ndie atapigiwa kura ya NDIYO na hatimaye kua RAIS WA TANZANIA kwa miaka kumi mfululizo
 
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi

Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777

Siku 9 ni nyingi sana katika kampeni

Tukutane hapa kuanzia tarehe 28,29,30 kupongezana na kupeana pole
Kazi nzuri sana comred Juma Rahibu😍😍😍😍
 
popote akipita Rais Lissu ardhi inatetemeka, halaiki wanamlaki maelfu kwa mamilioni wengine wakilia kwa furaha na kuona sasa matumaini yao ya muda mrefu sasa yanakuja baada ya kuteseka kwa zaidi ya miaka mitano wengine kumi, wengine zaidi...

Siku 9 ni nyingi sana katika kampeni

Tukutane hapa kuanzia tarehe 28,29,30 kupongezana na kupeana pole
Kazi nzuri sana comred Juma Rahibu😍😍😍😍
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
popote akipita Rais Lissu ardhi inatetemeka, halaiki wanamlaki maelfu kwa mamilioni wengine wakilia kwa furaha na kuona sasa matumaini yao ya muda mrefu sasa yanakuja baada ya kuteseka kwa zaidi ya miaka mitano wengine kumi, wengine zaidi, wapo waliovunjiwa nyumba, wengine kuuliwa ndugu na wapenzi wao, wengine kunyanyaswa, wengine kunyimwa stahiki zao, wengine kufukuzwa kazi kiholela, wengine kufungiwa biashara zao, wengine kunyimwa malipo ya mazao yao, yani matatizo kibao..ile damu yake ilyomwagika pale dodoma mlipotaka kumuua ndio inasema na Mungu...inasema na watanzania na hakika Mungu ataenda kujiinua dhidi ya dhuluma za ccm na hakika itakua HISTORIA
 
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi

Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777
Aondoke hata Mbowe Chadema itabaki kuwa Chadema na usisahau ni Taasisi Ngoma ishalia mziki ushapigwa watu ndio twaucheza kwa sasa hakuna kurudi nyuma
 
Uongo uliopitikiza nani asiemjua Juma Raibu kuwa ni tapeli tuu
Mleta Uzi anatype Uzi wake Huku anatweta utadhani anamwongelea mtu wa Maaana. Juzi si walisema wanachadema wenye Sare wamemvamia kwake na kuvunja vioo vya magari yake. Leo tena wamekuja na kihoja kingine.

Nadhani Mleta mada na huyo Juma ni watu wa genge moja.
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu. Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Tulia dawa ikuingie wewe usijetutia hasara sindano ikivunjikia ndani
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Huna tofauti na kile ki-speaker wanchotangaziaga biashara wamachinga! Ukibonyezwa unarudia maneno yale yale, huna ubunifu, huna hoja, lakini tatizo ni mfumo wetu wa elimu! Watu mmejifunza kukariri tu! Hii post uneirudia mara ngapi? Unafikiri ukirudia rudia watu wataamini?! Bure kabisa!
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Huna tofauti na kile ki-speaker wanchotangaziaga biashara wamachinga! Ukibonyezwa unarudia maneno yale yale, huna ubunifu, huna hoja, lakini tatizo ni mfumo wetu wa elimu! Watu mmejifunza kukariri tu! Hii post uneirudia mara ngapi? Unafikiri ukirudia rudia watu wataamini?! Bure kabisa!
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
‘Sumu ya panya, ya mende, jiwe la nyoka, vinapatikanaaaaaa!!!!’ Polepole bure kabisa anawakaririsha watoto ujinga tu!
 
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi

Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.View attachment 1604777
Hata aibu hamna. Angalia hata wanaomsikiliza hawaamini! watu waliokataliwa Chadema mnawatumia kufanya kampeni dhidi ya Chadema, manpoteza muda..angalia hata watu waliopo mkutano...hovyo kabisa!
 
Back
Top Bottom