Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Mmewanunua toka mwaka 2016 mpaka leo, tena hao inawezekana mmewatishia maisha, nyie ni wanyama.

Chadema haijaathirika popote, Lissu ndio anazidi kuwakimbiza tu.
Shehe Ponda na Bagonza mmewanunua shilingi ngap
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Punguza bia kidogo au umekunywa gongo la Chato ??
 
Punguza bia kidogo au umekunywa gongo la Chato ??
Mkuu usidanganywe na username, huyo mtu wa taputapu tuu huoni hata hoja zake ni za cocktail ya chimpumu, wanzuki, dengerua na yokozuna?
 
Back
Top Bottom