Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

sisi tunajua kua nyie wote mtamchagua Lissu ..ni kua tu lazima mje kupiga porojo humu ili mpate elfu saba ya kwenda kula supu na bia..hakuna mwendawazimu ataichagua ccm...mlikua mnatumia mtaji wa wajinga ambao hawajaelimika ila wamekufa wengi mmebaki nyie makapi machache machache ambao hata asilimia 20 ya kura hamtafika
LISSU kasema ushindi wa SUNAMI ili wasiweze kuiba zote
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
‘Sumu ya panya, ya mende, jiwe la nyoka, vinapatikanaaaaaa!!!!’ Polepole bure kabisa anawakaririsha watoto ujinga tu!
 
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi

Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.

View attachment 1604777
Chadema hawajaisha tu? Ccm inataka kutumia miaka mingapi kuwamaliza?
 
Yanayojiri Bagamoyo
Baada ya kupewa nguo za bure
Pilau la shoka pocket monay
Wasanii LIVE
Wana bagamoyo tunasema ✌️kura kwa Lissu
 

Attachments

  • IMG_20201019_144448.jpg
    IMG_20201019_144448.jpg
    92.1 KB · Views: 1
Mleta mada unasema ni15, kwenye video wanaonekana wawili, na hao wawili wanasema sio viongozi wa CHADEMA, mtangazaji nae anasema tumechukua 3, hivi MaCCM mna changanyikiwa kiasi hiki, mapema hivi. Mvumilie ifike 28 Oktoba.

#NIYEYE Rais ni Lissu awamu ya6.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
kipenzi cha mumeo na wanao alokuzalisha
 
Maamuzi yao ni mazuri sanaaa, wamejitambua na sio kutaka kuwa watumwa wa mabeberu. Na badoooooo.. utalii wa Chadrama unaisha lini? 😃😃😃

💚💛💚💛💚
Watu kama wewe wamezoea ukatili tangu kwenye familia zao, wongo?
 
Kuanzia mwaka huu Chadema inakataliwa rasmi kaskazini kwa sababu wanesimamamisha msaliti wa Nchi kupeperusha bendera ya Chadema
Tundu Lissu anawanyima usingizi hivyo mmembatiza majina yote mabaya. Tulieni dawa iingie. Jamaa anakubalika na wananchi wamemwelewa. #NiYeye2020
 
Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi

Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.

View attachment 1604777
Kweli kabisa lazima wahamie ccm kwakuwa ccm ndio dira ya maendeleo ya watanzania.
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike

Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
We mlevi, huyu ni nani..embu jibu
IMG_20201019_162608.jpg
 
Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema

Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuua CDM au kumzuia LISSU tena. CCM itakufa na kuiacha CDM ikimea vizuri kabisa.
 
Back
Top Bottom