Uchaguzi 2020 Juma Raibu aharibu ziara ya Lissu Kilimanjaro. Ang'oa viongozi 15 wa CHADEMA

Umasikini umeletwa na msaliti wa Nchi Lissu
 

Siku 9 ni nyingi sana katika kampeni

Tukutane hapa kuanzia tarehe 28,29,30 kupongezana na kupeana pole
Kazi nzuri sana comred Juma Rahibu😍😍😍😍
 
popote akipita Rais Lissu ardhi inatetemeka, halaiki wanamlaki maelfu kwa mamilioni wengine wakilia kwa furaha na kuona sasa matumaini yao ya muda mrefu sasa yanakuja baada ya kuteseka kwa zaidi ya miaka mitano wengine kumi, wengine zaidi...

Siku 9 ni nyingi sana katika kampeni

Tukutane hapa kuanzia tarehe 28,29,30 kupongezana na kupeana pole
Kazi nzuri sana comred Juma Rahibu😍😍😍😍
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
 
Aondoke hata Mbowe Chadema itabaki kuwa Chadema na usisahau ni Taasisi Ngoma ishalia mziki ushapigwa watu ndio twaucheza kwa sasa hakuna kurudi nyuma
 
Uongo uliopitikiza nani asiemjua Juma Raibu kuwa ni tapeli tuu
Mleta Uzi anatype Uzi wake Huku anatweta utadhani anamwongelea mtu wa Maaana. Juzi si walisema wanachadema wenye Sare wamemvamia kwake na kuvunja vioo vya magari yake. Leo tena wamekuja na kihoja kingine.

Nadhani Mleta mada na huyo Juma ni watu wa genge moja.
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu. Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Tulia dawa ikuingie wewe usijetutia hasara sindano ikivunjikia ndani
 
Piga spana kwa Wasaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Huna tofauti na kile ki-speaker wanchotangaziaga biashara wamachinga! Ukibonyezwa unarudia maneno yale yale, huna ubunifu, huna hoja, lakini tatizo ni mfumo wetu wa elimu! Watu mmejifunza kukariri tu! Hii post uneirudia mara ngapi? Unafikiri ukirudia rudia watu wataamini?! Bure kabisa!
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
 
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi atapigiwa kura na robert tu

Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
‘Sumu ya panya, ya mende, jiwe la nyoka, vinapatikanaaaaaa!!!!’ Polepole bure kabisa anawakaririsha watoto ujinga tu!
 
Hata aibu hamna. Angalia hata wanaomsikiliza hawaamini! watu waliokataliwa Chadema mnawatumia kufanya kampeni dhidi ya Chadema, manpoteza muda..angalia hata watu waliopo mkutano...hovyo kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…