LISSU kasema ushindi wa SUNAMI ili wasiweze kuiba zotesisi tunajua kua nyie wote mtamchagua Lissu ..ni kua tu lazima mje kupiga porojo humu ili mpate elfu saba ya kwenda kula supu na bia..hakuna mwendawazimu ataichagua ccm...mlikua mnatumia mtaji wa wajinga ambao hawajaelimika ila wamekufa wengi mmebaki nyie makapi machache machache ambao hata asilimia 20 ya kura hamtafika
βSumu ya panya, ya mende, jiwe la nyoka, vinapatikanaaaaaa!!!!β Polepole bure kabisa anawakaririsha watoto ujinga tu!
"Hatumwi mtoto dukani" how this statement is valid.SKAMOOOOOOOOOOO BIBII.... π [emoji3577]
Chadema hawajaisha tu? Ccm inataka kutumia miaka mingapi kuwamaliza?Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi
Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.
View attachment 1604777
kipenzi cha mumeo na wanao alokuzalishaChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Watu kama wewe wamezoea ukatili tangu kwenye familia zao, wongo?Maamuzi yao ni mazuri sanaaa, wamejitambua na sio kutaka kuwa watumwa wa mabeberu. Na badoooooo.. utalii wa Chadrama unaisha lini? πππ
πππππ
Tundu Lissu anawanyima usingizi hivyo mmembatiza majina yote mabaya. Tulieni dawa iingie. Jamaa anakubalika na wananchi wamemwelewa. #NiYeye2020Kuanzia mwaka huu Chadema inakataliwa rasmi kaskazini kwa sababu wanesimamamisha msaliti wa Nchi kupeperusha bendera ya Chadema
Kweli kabisa lazima wahamie ccm kwakuwa ccm ndio dira ya maendeleo ya watanzania.Siasa za Chuki Mgombea wa Chadema Moshi Mjini Raymond Mboya dhidi ya Juma Raibu zinaharibia chama,viongozi wanazidi kuhamia CCM kuunga mkono kazi za Raibu Mgombea Udiwani wa BomaMbuzi
Wakati tunamsbiri lissu Kilimanjaro ndivyo Hali inadhidi kuwa mbaya.
View attachment 1604777
Hiyo hapoSoma hapo [emoji116]ujue nani shoga..View attachment 1604899View attachment 1604900
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hii picha akiiona Bob Amsterdam atatuma pesa nyingine kwa ajili ya kumsaidia Lissu akiaminihayo "mafuriko" kuwa ndio udhindi. KALIWA KWEUPE, Chezea Matapeli wa kisiasa weeee!
We mlevi, huyu ni nani..embu jibuChadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
We mlevi, huyu ni nani..embu jibu View attachment 1605010
Hakuna mtu wala taasisi inayoweza kuua CDM au kumzuia LISSU tena. CCM itakufa na kuiacha CDM ikimea vizuri kabisa.Chadema mtajuta kusimamisha msaliti wa Nchi apeperushe bendera ya Chadema
Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
Inakufaje sasaππππMtumieni Slaa aiokoe CCM isife
Imekatiliwa Hadi vijijiniInakufaje sasaππππ