Pre GE2025 Jumaa Aweso inadaiwa ndio anayepigiwa Chapuo kuwa Waziri Mkuu 2025-2030 kama CCM itashinda

Pre GE2025 Jumaa Aweso inadaiwa ndio anayepigiwa Chapuo kuwa Waziri Mkuu 2025-2030 kama CCM itashinda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni moja kati ya vijana pendwa na mkuu. Ila ukiangalia cv za mawaziri wa kenya na.wa.kwetu unabaki mdomo.wazi
 
Asimamie kwanza pre paid meter nchi nzima maana wananchi wanabambikiwa sana madeni na watu wa maji.
Halafu afumue uongozi wa mamlaka ya maji mji mdogo Usa river AUWASA,wamejaa jeuri na kulewa madaraka.Wananchi wakienda wao ni kuwajibu kwa kiburi na kutojali huku wakiwa busy na simu.
 
Yaani mtu anajulikana kwa idadi za wake leo awe waziri mkuu!! Huyu anafikiria alale na mke gani badala ya miradi yetu
Jamaa linaoa kila siku.
Mtu anawaza ngono kila sekunde huo uwaziri mkuu atauweza?
 
Ni moja kati ya vijana pendwa na mkuu. Ila ukiangalia cv za mawaziri wa kenya na.wa.kwetu unabaki mdomo.wazi
Sio mawaziri tu,hata Raisi.
Mwenye cv iliyonyooka ni makamu tu.hao wengine wakina mwigulu walifoji vyeti
 
PM NI DB PEKEE HAWEZI KUWA TENA KANDA PWANITENA KMANI SAWA.....
 
Lakini kuna mikoa inapendelewa sana, iliwezekanaje mkoa mmoja kuwa na mawaziri waane?

Kulikuwa na J.Makamba,Mana FA, Aweso, na Mwalimu.

Mikoa mingine hakujawahi hata kutoa mkuu wa wilaya?
 
Rais wetu Dokta Samia Suluhu Hassan, inadaiwa anataka kuchanganya damu changa sababu kazungukwa na wazee wakina Wasira na Mizrengo Pinda.
View attachment 3217686
Jumaa Aweso ameonekana ni Mchapakazi, sio mla Rushwa wala hana Biashara katika Soko la Kariakoo. Hivyo hawezi kuhujumu Uchumi kwa cheo chake

Hivyo inadaiwa eti ndo chaguo namba moja la Mama wa Kizimkazi(Mamalao)
View attachment 3217685
Je, nini maoni yako juu ya Uteuzi huu?

Kwa wale wasiomjua, Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso (Mb) alizaliwa tarehe 22 Machi 1985, Pangani, Mkoani Tanga. Mheshimiwa Aweso alisoma katika Shule ya Msingi ya Mwambao, Pangani, Mkoani Tanga (1994-2000) na Elimu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari Bagamoyo (2001-2004). Mhe. Aweso alipata Elimu ya Juu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari ya Pugu (2005-2007).
View attachment 3217684
Kati ya mwaka 2007 na 2009, Mheshimiwa Aweso alihudhuria Chuo cha Ualimu cha Morogoro na kutunukiwa Astashahada ya Ualimu. Mheshimiwa Aweso ana Shahada ya Sayansi katika Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, aliyotunukiwa mwaka 2013. Mwaka 2018-2020 Mheshimiwa Aweso alihudhuria na kuhitimu Shahada ya Pili ya Utawala na Uongozi (Governance and Leadership (MAGL) ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT).
View attachment 3217687
Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Pangani lililopo Mkoani Tanga mwaka 2015. Mwezi Oktoba 2017, Mhe. Aweso aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, akichukua nafasi ya Mhe. Kamwelwe aliyeteuliwa kuwa Waziri.
View attachment 3217688
Oktoba 2020, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso alipita bila kupingwa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mbunge wa Pangani kwa Awamu ya Pili, 2020-2025. Mwezi Desemba 2020, aliteuliwa kuwa Waziri wa Maji.
View attachment 3217689View attachment 3217690View attachment 3217691View attachment 3217692View attachment 3217693
Umefanganya uliposema Aweso siyo mla rushwa. Kwenye miradi ya maji rushwa ni kama teja na unga.

Au hujui ukwasi wake ni mkubwa kiasi gani?
 
Kumbe bado ccm wana ndoto ya kushinda uchaguzi mkuu?_😭😭😭
 
Rais wetu Dokta Samia Suluhu Hassan, inadaiwa anataka kuchanganya damu changa sababu kazungukwa na wazee wakina Wasira na Mizrengo Pinda.
View attachment 3217686
Jumaa Aweso ameonekana ni Mchapakazi, sio mla Rushwa wala hana Biashara katika Soko la Kariakoo. Hivyo hawezi kuhujumu Uchumi kwa cheo chake

Hivyo inadaiwa eti ndo chaguo namba moja la Mama wa Kizimkazi(Mamalao)
View attachment 3217685
Je, nini maoni yako juu ya Uteuzi huu?

Kwa wale wasiomjua, Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso (Mb) alizaliwa tarehe 22 Machi 1985, Pangani, Mkoani Tanga. Mheshimiwa Aweso alisoma katika Shule ya Msingi ya Mwambao, Pangani, Mkoani Tanga (1994-2000) na Elimu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari Bagamoyo (2001-2004). Mhe. Aweso alipata Elimu ya Juu ya Sekondari katika Shule ya Sekondari ya Pugu (2005-2007).
View attachment 3217684
Kati ya mwaka 2007 na 2009, Mheshimiwa Aweso alihudhuria Chuo cha Ualimu cha Morogoro na kutunukiwa Astashahada ya Ualimu. Mheshimiwa Aweso ana Shahada ya Sayansi katika Kemia kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, aliyotunukiwa mwaka 2013. Mwaka 2018-2020 Mheshimiwa Aweso alihudhuria na kuhitimu Shahada ya Pili ya Utawala na Uongozi (Governance and Leadership (MAGL) ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT).
View attachment 3217687
Mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Pangani lililopo Mkoani Tanga mwaka 2015. Mwezi Oktoba 2017, Mhe. Aweso aliteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, akichukua nafasi ya Mhe. Kamwelwe aliyeteuliwa kuwa Waziri.
View attachment 3217688
Oktoba 2020, Mhe. Jumaa Hamidu Aweso alipita bila kupingwa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mbunge wa Pangani kwa Awamu ya Pili, 2020-2025. Mwezi Desemba 2020, aliteuliwa kuwa Waziri wa Maji.
View attachment 3217689View attachment 3217690View attachment 3217691View attachment 3217692View attachment 3217693
Huyu bwege hawezi juwa waziri mkuu. Sema nchi imekuwa ya kisenge
 
Back
Top Bottom