Jumanne nyeusi kwa Rais Samia inakuja

Jumanne nyeusi kwa Rais Samia inakuja

wewe ni mjinga .yanii hujui pesa za uviko nimefanya nini? kama hujui hata hilo basi wewe ni bure.yani madarasa yaliyojengwa nchi nzima hukuyaona?pumbavuuuu
Madarasa yamejengwa kwa mkopo , hayo madarasa hayachangii chochote kwenye kulipa huo mkopo, ila mkopo lazma ulipe
 
Madarasa yamejengwa kwa mkopo , hayo madarasa hayachangii chochote kwenye kulipa huo mkopo, ila mkopo lazma ulipe
Yani Dreamnaire hata umuulize Paskali Mayalla hajui fedha za rasilimali zetu zinafanya kazi gani?

tunacheka kama wajinga kila siku, eti Mikopo ndio mkombozi ujinga sana huu
 
ANGUKO LA UCHUMI KWA TAIFA LA MAREKANI (1929~1933)

Aliyeitwa Herbert hoover aliyekuwa na miezi nane tu kwenye uongozi wake kutokana na kutokujuwa vema nini maana ya urais wa marekani uchumi ukaanguka, siku ambayo wao waliyoitaja kama jumanne nyeusi hali ilikuwa mbaya zaidi 0.75 walipoteza ajira.

Sababu kubwa ya Herbert Hoover kushindwa ni kufa kwa ununuzi wa hisa (New york stock exchange) ambayo ilipelekea watu kuchukuwa pesa zao kwenye mabenki na kufirisika kitendo ambacho kilipelekea wamerikani kumkataa rais HERBERT HOOVER.

herbert hoover.jpg


Utawala wa herbert hoover ni wazi mambo yalionekana kuwa mabaya katika maeneo mengi muhimu kwa uchumi wa Marekani. Ni wamarekani ndio waliyofahamu kuwa Hoover mambo kwake alikuwa mabaya lakini kwa Tanzania mambo tofauti sio kama watu makini hawapo la, ni wajinga wengi sana kuliko watu makini na ndio sababu kubwa ambayo CCM wanayotumia.

heho_hoover_london_treaty_1930.jpg


Rais Herbert Hoover.

Mwaka 1929 akaja mkombozi wa uchumi wa marekani rais Franklin Delano Roosevelt na kauli yake "The only thing we have to fear is fear itself".

32_franklin_d_roosevelt.jpg



Mipango madhubuti ya rais Franklin delano roosevelt baada ya kuwa rais mwaka 1929

1. Nafuu(Relief): Alitoa pesa kusaidia wazee wasio na ajira.

2. Akafanya mabadiliko katika sector tofauti tofauti miongoni ni mabenk akazipa mitaji ili kurejesha matumaini kwa wananchi kutunza hela zao kwenye mabenk.

3. Rais franklin alitoa ajira kwa vijana.

4. Kutengeneza uhusiano mzuri wa wafanya kazi na waajiri wao ili kuteta ufanisi wa kazi hatimae marekani ikawa kubwa tena kwa uchumi.

Franklin_D_Roosevelt_Quotations.jpg


The only thing we have to fear is fear itself.

Quote-Franklin-D.-Roosevelt.png


It is common sense to take a method and try it. If it fails, admit it frankly and try another. But above all, try something.

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

NCHI KUKOPA Vs DENI LA TAIFA.
Ubaya wa jambo hili hauwezi kuonekana na watu wajinga.





Job Ndugai alisema mkopo wa fedha wa Sh1.3 trilioni kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) ili kukabiliana na athari za kiuchumi za COVID-19 (ambazo walizipeleka kusikoonekana), malipo na riba ya mkopo huo ni Sh10 trilioni.

Hakuna Binadamu yoyote ambaye anasema kukopa ni KOSA. Tatizo la Rais SAMIA hajui mambo haya.
-Mikopo wako wa aina gani?
-Masharti yake je?, yapo vipi?
-Dhamana yake ni nini?
-Mikopo hiyo kwa shughuli gani?
-Shughuli hizo zina tija kwa raia?

Utawala wa Magufuli na Samia kwa miaka 7 umekopa zaidi ya utawala wowote hapa Tanzania.

UMEME NA MAJI NCHINI
Mgao wa umeme ni mkali sana chini ya utawala wa Samia Suluhu Hassan na January Yusuf Makamba.

Mgao wa maji ni mkali sana chini ya utawala wa Samia Suluhu Hassan na Aweso.

UMASIKINI WA MAWAZO NI UMASIKINI KUPITA UMASIKINI WOTE- BY J.K.NYERERE (R.I.P)

Hawa CCM wamekufa kimawazo , lakini ni sisi Raia ndio tutaweza kuliweka Taifa salama.


Utawala wa rais SAMIA una zaidi ya miaka na miezi kadhaa madarakani. Kama taifa, hatuwezi kuendelea na fungate (honeymoon) ya utawala wake wakati ni wazi mambo yanaonekana kuwa mabaya katika maeneo mengi muhimu kwa uchumi wa Tanzania.

Ufike wakati sasa tuanze kizungumzia mambo mazito yanayotukabili kama taifa.

Mamia atambue kuwa hata Mungu mwenyewe alianza na mwanga

"Mungu akasema, iwe nuru, ikawa nuru. Mungu akaiona nuru na giza. Mungu akaiita nuru mchana, na giza akaiita usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza"

Ni maneno kutoka katika kitabu cha mwanzo(1: 3~5)
Tunatakiwa kufikiria kwamba tunaweza kuumizwa na tunaweza kujiumiza wenyewe, Samia anatakiwa kuambiwa kuwa safari yake ni ngumu katika uchumi.

Note: Magufuli utashi wa kisiasa ni muhimu katika kuendesha taifa.
Mipango ya rais Herbert ni sawa na mipango ya Samia na Nchemba.

By mr mkiki

LAZIMA TUKOPE HAKUNA NAMNA MIRADI ILIANZISHWA MINGI KWA MKUPUO HAIWEZI KUSUBIRISHWA NI LAZIMA TUKOPE TUKAMILISHE TUPIME TIJA YAKE, HAKUNA JAMBO BAYA KAMA MTU MZIMA KUJITOA UFAHAMU. WAKATI UNAFAHAMU KWANINI TUNAKOPA, IPO SIKU MIRADI ITAKAMILIKA NA TUNAONA FAIDA ZAKE PAMOJA NA KULIPA MADENI.
 
LAZIMA TUKOPE HAKUNA NAMNA MIRADI ILIANZISHWA MINGI KWA MKUPUO HAIWEZI KUSUBIRISHWA NI LAZIMA TUKOPE TUKAMILISHE TUPIME TIJA YAKE, HAKUNA JAMBO BAYA KAMA MTU MZIMA KUJITOA UFAHAMU. WAKATI UNAFAHAMU KWANINI TUNAKOPA, IPO SIKU MIRADI ITAKAMILIKA NA TUNAONA FAIDA ZAKE PAMOJA NA KULIPA MADENI.
Tangu 1961 mpaka leo nchi kama imekatwa mkia.
 
Mnaomuunga mkono bwana kaka basi fanyeni muandamane ili tuone juhudi zenu kama zitaweza kutushawishi
 
Tangu 1961 mpaka leo nchi kama imekatwa mkia.
Barabara ya uhuru ilikopewa fedha mwaka 63 deni lake limekuja kuisha 2020.
Mikopo ya kimaendeleo ni jambo la kawaida kwani tukumbuke itafika mahala hatutahitaji tena mikopo kwa sababu miundombinu yote muhimu kwa taifa itakuwa imekamilika.
 
Barabara ya uhuru ilikopewa fedha mwaka 63 deni lake limekuja kuisha 2020.
Mikopo ya kimaendeleo ni jambo la kawaida kwani tukumbuke itafika mahala hatutahitaji tena mikopo kwa sababu miundombinu yote muhimu kwa taifa itakuwa imekamilika.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa viongozi gani?
 
ANGUKO LA UCHUMI KWA TAIFA LA MAREKANI (1929~1933)

Aliyeitwa Herbert hoover aliyekuwa na miezi nane tu kwenye uongozi wake kutokana na kutokujuwa vema nini maana ya urais wa marekani uchumi ukaanguka, siku ambayo wao waliyoitaja kama jumanne nyeusi hali ilikuwa mbaya zaidi 0.75 walipoteza ajira.

Sababu kubwa ya Herbert Hoover kushindwa ni kufa kwa ununuzi wa hisa (New york stock exchange) ambayo ilipelekea watu kuchukuwa pesa zao kwenye mabenki na kufirisika kitendo ambacho kilipelekea wamerikani kumkataa rais HERBERT HOOVER.

herbert hoover.jpg


Utawala wa herbert hoover ni wazi mambo yalionekana kuwa mabaya katika maeneo mengi muhimu kwa uchumi wa Marekani. Ni wamarekani ndio waliyofahamu kuwa Hoover mambo kwake alikuwa mabaya lakini kwa Tanzania mambo tofauti sio kama watu makini hawapo la, ni wajinga wengi sana kuliko watu makini na ndio sababu kubwa ambayo CCM wanayotumia.

heho_hoover_london_treaty_1930.jpg


Rais Herbert Hoover.

Mwaka 1929 akaja mkombozi wa uchumi wa marekani rais Franklin Delano Roosevelt na kauli yake "The only thing we have to fear is fear itself".

32_franklin_d_roosevelt.jpg



Mipango madhubuti ya rais Franklin delano roosevelt baada ya kuwa rais mwaka 1929

1. Nafuu(Relief): Alitoa pesa kusaidia wazee wasio na ajira.

2. Akafanya mabadiliko katika sector tofauti tofauti miongoni ni mabenk akazipa mitaji ili kurejesha matumaini kwa wananchi kutunza hela zao kwenye mabenk.

3. Rais franklin alitoa ajira kwa vijana.

4. Kutengeneza uhusiano mzuri wa wafanya kazi na waajiri wao ili kuteta ufanisi wa kazi hatimae marekani ikawa kubwa tena kwa uchumi.

Franklin_D_Roosevelt_Quotations.jpg


The only thing we have to fear is fear itself.

Quote-Franklin-D.-Roosevelt.png


It is common sense to take a method and try it. If it fails, admit it frankly and try another. But above all, try something.

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

NCHI KUKOPA Vs DENI LA TAIFA.
Ubaya wa jambo hili hauwezi kuonekana na watu wajinga.





Job Ndugai alisema mkopo wa fedha wa Sh1.3 trilioni kutoka Shirika la Fedha Duniani (IMF) ili kukabiliana na athari za kiuchumi za COVID-19 (ambazo walizipeleka kusikoonekana), malipo na riba ya mkopo huo ni Sh10 trilioni.

Hakuna Binadamu yoyote ambaye anasema kukopa ni KOSA. Tatizo la Rais SAMIA hajui mambo haya.
-Mikopo wako wa aina gani?
-Masharti yake je?, yapo vipi?
-Dhamana yake ni nini?
-Mikopo hiyo kwa shughuli gani?
-Shughuli hizo zina tija kwa raia?

Utawala wa Magufuli na Samia kwa miaka 7 umekopa zaidi ya utawala wowote hapa Tanzania.

UMEME NA MAJI NCHINI
Mgao wa umeme ni mkali sana chini ya utawala wa Samia Suluhu Hassan na January Yusuf Makamba.

Mgao wa maji ni mkali sana chini ya utawala wa Samia Suluhu Hassan na Aweso.

UMASIKINI WA MAWAZO NI UMASIKINI KUPITA UMASIKINI WOTE- BY J.K.NYERERE (R.I.P)

Hawa CCM wamekufa kimawazo , lakini ni sisi Raia ndio tutaweza kuliweka Taifa salama.


Utawala wa rais SAMIA una zaidi ya miaka na miezi kadhaa madarakani. Kama taifa, hatuwezi kuendelea na fungate (honeymoon) ya utawala wake wakati ni wazi mambo yanaonekana kuwa mabaya katika maeneo mengi muhimu kwa uchumi wa Tanzania.

Ufike wakati sasa tuanze kizungumzia mambo mazito yanayotukabili kama taifa.

Mamia atambue kuwa hata Mungu mwenyewe alianza na mwanga

"Mungu akasema, iwe nuru, ikawa nuru. Mungu akaiona nuru na giza. Mungu akaiita nuru mchana, na giza akaiita usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza"

Ni maneno kutoka katika kitabu cha mwanzo(1: 3~5)
Tunatakiwa kufikiria kwamba tunaweza kuumizwa na tunaweza kujiumiza wenyewe, Samia anatakiwa kuambiwa kuwa safari yake ni ngumu katika uchumi.

Note: Magufuli utashi wa kisiasa ni muhimu katika kuendesha taifa.
Mipango ya rais Herbert ni sawa na mipango ya Samia na Nchemba.

By mr mkiki
Tutafika tu
 
Back
Top Bottom