Jumatatu tunaanza Maombi kwa wale Viongozi wote majizi/mafisadi

Jumatatu tunaanza Maombi kwa wale Viongozi wote majizi/mafisadi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Tumechoka. Kila mwaka CAG anasoma hasara ambazo taifa linaingizwa kutokana na kodi za wananchi maskini hawa wanaoishi maisha magumu.

Viongozi wao wanatumia magari ya gharama kubwa ya kifahari. Wananchi hawana madawa hosp, hawapati matibabu bila kuwa na pesa. Shule hazina madawati, walimu wanamshahara mdogo na wanafanya kazi katika mazingira magumu.

Bei za vyakula zinapanda juu, mafuta, maisha yanakuwa magumu. Wanakamuliwa kwa ajili ya maslahi ya wachache.

Tuanze kufunga na kuomba walinzi wafanye hiyo kazi au ajali ziwaondoe aina ya viongozi hao wakishetani. Wasiojali maisha ya watanzania maskini.
 
Hao watu unao taka kuuawa ndo wanao leta mzunguko wa pesa mjini bila hao watu biashara dar ingekua ngumu sana, mtu moja ana majengo matano imagine hardware ngapi zitafaidika magari ya mchanga tofari, mafundi hao watu acha wanao iba na kuwekeza ndani ni safi sana sio wale wa JPM walio ficha pesa uchina
 
Chizi kama Chizi!!! Sijui uunganishwe kwenye kesi ipi !!!
 
Mbn ghafla sana!
Ukienda sehemu flani utaona watu wanavyoishi maisha magumu. Inaumiza sana... Hayo majizi na mafisadi yafe tu.... Hata wanayoyalinda wapate wazimu wayaue tu ijulikane moja. Si vibaya kuanza upya
 
Back
Top Bottom