Jumba la Kifahari la Askofu Kakobe

Teh teh...mpe mpe huyo [emoji1787][emoji16]
 
Wakristo siku zote mnajisifia ni wasomi sasa wasomi gani mnapigwa kindezi hivi? Yaani mnashindwa kabisa kugundundua hoa jamaa ni wapiga dili kwa mgongo wa dini?
Tunakuwaga tumepumbazwa, chezea power from nigeria wewe[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndio tufanane, Yesu uliona akifanya hii michongo?, si hata [emoji48] alimpa kila kitu lkn akachomoa
Mungu hakukuumba uishi kinyonge.
Mungu alikuumba utawale dunia na vyote vilivyomo..hiyo ya kuishi kinyonge ni yako wewe.

Yesu ni Mungu,dunia na vyote vilivyomo ni Mali Yake.

Unaweza ishi masikini duniani na Mbinguni ukaenda.
Unaweza ishi kitajiri dunia na Mbinguni ukaenda.
Pia unaweza ishi kimasikini duniani na Mbinguni usiende..unaweza uishi kitajiri na mbingu usiione.

Acheni mawazo hasi,umasikini siyo sifa.
 
Muumini ukikosa ada ya mtoto au pesa ya kununua gari, unaombewa!!

Ila Mchungaji yeye akikosa, anachangiwa na Waumini [emoji846][emoji846]
Sijawahi kuona sehemu yoyote mtu analazimishwa kutoa sadaka.
Kutoa ni hiari ya mtu na mtu hutoa kutokana na Roho wa Bwana anapomuelekeza atoe.

Kuna watumishi husaidia pia wahitaji kwa hali na Mali..kila mtu na jinsi anavyoguswa.
 
Muumini ukikosa ada ya mtoto au pesa ya kununua gari, unaombewa!!

Ila Mchungaji yeye akikosa, anachangiwa na Waumini [emoji846][emoji846]
Ha ha ha kweli kabisa, asee inabidi utulize kichwa kuhusu hii mambo, wewe una shida unaombewa ila mchungaji haombewi anachangiwa[emoji848][emoji848]
 
Hujajibu swali langu madame[emoji848]
 
Hakuna mtu anaye entertain umasikini. Kuishi kifahari katikati ya lindi la umasikini wa waumini wako siyo ukristo huo.

Tena kibaya zaidi kwa uwongo uongo na udanganyifu.

Muumini hana uwezo hata wa kulipia chumba cha kupanga cha elfu 20, halafu Askofu ni milionea wa sadaka.

Makanisa kama hayo huwezi kusikia yametoa hata msaada wa gunia la mahindi kwenye kituo cha watoto yatima.
 
Kakobe sio Nabii wala Mtume acha kukalili mambo
 
Sijawahi kuona sehemu yoyote mtu analazimishwa kutoa sadaka.
Kutoa ni hiari ya mtu na mtu hutoa kutokana na Roho wa Bwana anapomuelekeza atoe.

Kuna watumishi husaidia pia wahitaji kwa hali na Mali..kila mtu na jinsi anavyoguswa.
Wale watu wako radicalized. Siyo watu huru kisaikolojia.

Ukisha m-radicalize mtu unaweza hata kumwambia ajitoe muhanga, akajitoa.
 
Wajinga ndio waliwao tangu nijue ujinga huu ni mwaka wa tatu sasa sijaingia kanisani kabisa
 
Wale watu wako radicalized. Siyo watu huru kisaikolojia.

Ukisha m-radicalize mtu unaweza hata kumwambia ajitoe muhanga, akajitoa.
Wewe wasema..
Ni watu huru kabisa,,labda wewe ndiye ambaye haupo huru.
Acha assumptions zako chafu.
 
Mimi ninawafahamu watu kadhaa wanasali hapo kanisani kwake na ni matajiri hatari

Kuishi kitajiri kwa namna yoyote ile si dhambi.
Ingekuwa dunia inafuata hayo mawazo yako basi tungekuwa nyuma sana
... ishi kadiri ya uwezo wako


Ulitaka usikie wapi??sadaka ni siri na Aonaye sirini(Mungu) ndiye anayeona

Wewe unataka uone kama nani??si lazima uone.

Halafu Kakobe alikudanganya nini?
Hebu weka wazi hapa tujadili.
 
Dah ya kaisar mpe kaisar ya mungu mpe mungu na endapo ya mungu kaisar kaikwapua hakuna jinsi tena tumtolee bwana kwa nguvu zetu zote MTOA MADA TUWEKEE MAJENGO YA MANABII WOTE ILI SISI WANA KONDOO TUYAONE NA TUYABARIKI
 
Nina mpango wa kuslimu hata familia ikinitenga fresh tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…