Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tuUsitamani utajiri wa mwenzio ujui anayopitia ridhika na dagaa lako
Naongea ukweli kabisa ningekua na mali kama za huyo mzee ...sidanganyi ningekua wanawake zaidi ya wawiliMawazo ya kimasikini haya
Hahaaaa ndio maana JF humu akina hohehahe wanajisifia ngono tu kumbe hawana hata jero.Ukute ana mke mmoja tu.Wenye hela wengi,kipaumbele chao siyo ngono,sisi maskini ndiyo tunaweka kipaumbele kwenye ngono.Wao(matajiri),starehe zao ni nyingi sana,sisi starehe zetu ni zile za jumla.
Ni kweli, wao hutumia fedha zao kufadhili mpira wa miguu tuu, huku watu wakifa vijijini kwa kukosa huduma Bora za afya na wengine wanabaki kwenye lindi la umaskini kwa kukosa elimu boraSasa kila mtu akijenga shule na hospitali....si Sawa na na ushirikina tu.
Eeehhh afadhal na we unapajua,afu wengi watu hata Awana ulemavu wamejifunika vitambaa na Madera yao hadi aibuIle barabara inajaza ombaomba wanamvizia yeye akipita awaungie
MM ningeoa watano tu sio wengi sanaUkute ana mke mmoja tu.Wenye hela wengi,kipaumbele chao siyo ngono,sisi maskini ndiyo tunaweka kipaumbele kwenye ngono.Wao(matajiri),starehe zao ni nyingi sana,sisi starehe zetu ni zile za jumla.
Sisi masikini starehe zetu ni mjegejeUkute ana mke mmoja tu.Wenye hela wengi,kipaumbele chao siyo ngono,sisi maskini ndiyo tunaweka kipaumbele kwenye ngono.Wao(matajiri),starehe zao ni nyingi sana,sisi starehe zetu ni zile za jumla.
Dogo una akili sana,hiyo ni ramani ya nyumba ila mwamba kaamua kutupiga za mbavuMbona kama ramani ya nyumba
Ila sisi tuna enjoy ngono kuliko WaoUkute ana mke mmoja tu.Wenye hela wengi,kipaumbele chao siyo ngono,sisi maskini ndiyo tunaweka kipaumbele kwenye ngono.Wao(matajiri),starehe zao ni nyingi sana,sisi starehe zetu ni zile za jumla.
Kuomba uleta umasikiniAlio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu
Ndo wapi Tena huko?Ipo karibu na Chattle
π π π kwakweli. Nimesoma juujuuChief umeielewa tofauti hyo comment yangu
Jengo hilo lipo sehemu ganii mana wengine Fumba town hatupajuiPopote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.
Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.
Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.
Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk
Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.
π π π π π π π π π π π π π π πIpo karibu na Chattle
Na zimeingia ase ngumi zake ngumu sanaDogo una akili sana,hiyo ni ramani ya nyumba ila mwamba kaamua kutupiga za mbavu
HAta awe na jumba kubwaje bado anaenda haja kama masikiniπ€£π€£Anaenda nazo zote Kaburini Akifa?