Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi

Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.

Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu wallah.
 
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.

Sawa ila aache wivu wa kitoto kwenye biashara
 
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.

Ukiwa na pesa hata baharini unajenga nyumba.
 
Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu
Mkuu tamani tu, kutamani mafanikio ni chachu ya maendeleo hata kama hutamfikia lakini kuna hatua utapiga. Jamii isiyo na tamaa tunawaona maisha yao, hohehahe na wameridhika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom