cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka uwe wa ngapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu wallah.Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
Sawa ila aache wivu wa kitoto kwenye biasharaPopote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.
Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.
Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.
Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk
Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.
Watanzania wanapenda paisha bei za vituKusema hiyo Nyumba ni Bil 30 nakukatalia.Hakuna Hiyo ramani ujenzi wake hauzidi Bil 5 mpaka 7.
Ukiwa na pesa hata baharini unajenga nyumba.Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.
Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.
Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.
Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk
Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.
Wanajenga masjid tu na madrasa.Wa hivyo hawajengagi shule Wala hospitali
Wewe umejenga matundu ya choo mangapi shule za wilayani kwako????Wa hivyo hawajengagi shule Wala hospitali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Hayo ni majukumu ya serikali kupitia kodi zetuNi kweli, wao hutumia fedha zao kufadhili mpira wa miguu tuu, huku watu wakifa vijijini kwa kukosa huduma Bora za afya na wengine wanabaki kwenye lindi la umaskini kwa kukosa elimu bora
akijibu nishtueWewe umejenga matundu ya choo mangapi shule za wilayani kwako????
Tunapenda kweli kujipa umuhimu kwenye hela za watu.akijibu nishtue
Nyuzi kama hizi unagundua mwandishi ana upeo wa Kuku anae tegwa kwa mcheleWatanzania wanapenda paisha bei za vitu
Nlivoona mnauliza ana wake wangapi nilijua mnataka awaoe[emoji28][emoji28]
Hakuna tajiri hawapangi[emoji28]usipowapanga kama una hela sasa hela zako za kazi ganiNingekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
Mkuu tamani tu, kutamani mafanikio ni chachu ya maendeleo hata kama hutamfikia lakini kuna hatua utapiga. Jamii isiyo na tamaa tunawaona maisha yao, hohehahe na wameridhikaAlio kwambia nimetaman nani?,wapi nimeandika nmetaman.Kiuhalisia nilishangaa maana nlijua hotel na watu maskin huwa wanaenda kuomba hela pale hasa wakati wa ramadhan ukitaka kuamin nenda mwenyewe utaona.mimi nilipitishwa na rafiki yangu anae kaa mita hiohio yaan watu wanaishi jaman achen tu