King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
We Ulisikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masaki anazo mbili Kuna hii ipo barabara ya kutokea St.Joseph hiyo ni ya kukutana na marafiki zake na kuchoma mishkaki na kula Gomba.Yeye anaishi Ile ya karibu na Slip way.Kuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana
Nyieeee 😆😆😆😂😂😂😂🤣🤣🤣nimeamin kunawatu tunasindikiza wenzetu waishi 😀😀😀😀Masaki anazo mbili Kuna hii ipo barabara ya kutokea St.Joseph hiyo ni ya kukutana na marafiki zake na kuchoma mishkaki na kula Gomba.Yeye anaishi Ile ya karibu na Slip way.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We acha tu mkuu Mimi nimepata bahati ya kukutana na watu hapa bongo Kuna watu wanaishi aiseeee.Nyieeee [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nimeamin kunawatu tunasindikiza wenzetu waishi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani tumepotezaTutafuteni hela jamani
Hujui humu kila mtu bosi 😳😳😳....😄La jf
Asante mkuuHela ipo,huyo ahitaji kuhubiriwa na wazungu,kua kuna pepo ambayo ina hiki na kile,yeye hayo maisha anayaishi hapahapa.
Wewe unayetafutia maskini una mchango unaotambulika kwenye maeneo unayoishi??Ni kweli, wao hutumia fedha zao kufadhili mpira wa miguu tuu, huku watu wakifa vijijini kwa kukosa huduma Bora za afya na wengine wanabaki kwenye lindi la umaskini kwa kukosa elimu bora
Watu kama wewe mnasababisha watu tupate burudani hapa na tuishi miaka mingi 😂 😂😂.Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Mkuu Liverpool itamaliza tena nje ya tano. Dan clauruzio yuko wapi?Ipo karibu na Chattle
Kauli za kumfariji masikini hizo.Baadhi ya kauli ya ambao hatujapata pesa ..
1.pesa inanunua nyumba ila pesa hainunui usingizi
2.Hata uwe na mali kiasi gani hutazikwa nayo
3.Pesa inanunua chakula ila hainunui hamu ya kula
HAYA TUENDELEZE ZINGINE KWA COMMENT
Kauli za kumfariji masikini hizo.
😂😂😂Nlivoona mnauliza ana wake wangapi nilijua mnataka awaoe😅😅
mtu flani alisema hivi!
Kadiri tunavyozeeka na kuwa na hekima zaidi, tunatambua polepole kwamba kuvaa saa ya $300 au $30 zote mbili hutoa wakati mmoja.Tuwe na pochi ya $300 au mkoba au $30, kiasi ndani ni sawa.Tunaendesha gari la $150,000 au gari la $30,000, njia na umbali ni sawa, na tunafika mahali pale pale. Iwe nyumba tunayoishi ni futi za mraba 300 au 3000, upweke ni uleule. Kwa jinsi hiyo utatambua kwamba furaha yako ya kweli ya ndani haitokani na vitu vya kimwili vya ulimwengu huu,bali na Mungu. Na Ardhi tunaokanyaga leo ndio paa letu la kesho.
Anaachia watoto na wajukuu its a good thingAnaenda nazo zote Kaburini Akifa?
[emoji23][emoji23] Dah.Ningekuwa na hela kama yeye ningewapanga sana hawa Chuchu konzi
Kila weekend kama siyo Maldives basi Copa Cabbana.
Kwanza ningeishije Tanzania?
Nisingeweza kulala na mifugo mimi.
😀😀😀😀😁😁😁😃😃😃😂😂😂 Ivi mwenyewe akiona comment ka hii inamuhusu atacheka,ata shangaa au atasikitika 😀😀😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 maana mm vyote vimenijia kwa wakat mmoja.Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Nimeiona mkuu, niko maeneo hayo leo!Kuna nyingine anayo masakijman watu wanaishi,kituo kinaitwa bakresa hapo masaki ana nyumba nilijua hotel bhana