Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
giphy (1).gif
 
...kuoa Mke zaidi ya mmoja sio swala la pesa,ni uanaume yaani ni yale maamuzi ya kiume aambayo mtu huzaliwa nayo....

Kunywa Soda popote ulipo nalipia. Watu wengi huhisi kuoa mke zaidi ya mmoja ni suala la uwezo wa kifedha kitu ambacho sio sahihi kabisa. Ni kweli fedha husaidia kurahisisha mambo ila hilo suala moja kwa moja linanasibiana na uiamara wa kimaamuzi wa mwanamme.
Kuna watu wana fedha chafu humu halafu bado wanawaogopa kabisa wake zao.
 
Kunya Soda popote ulipo nalipia. Watu wengi huhisi kuoa mke zaidi ya mmoja ni suala la uwezo wa kifedha kitu ambacho sio sahihi kabisa. Ni kweli fedha husaidia kurahisisha mambo ila hilo suala moja kwa moja linanasibiana na uiamara wa kimaamuzi wa mwanamme.
Kuna watu wana fedha chafu humu halafu bado wanawaogopa kabisa wake zao.
Kuna jamaa zangu wana mawe lakini ukiwaambia issue za kuoa ata mke mmoja ......wanaingiwa na uoga.,ndo nlipokuja kugundua kuoa ni maamuzi ya mtu either mke mmoja au watatu...
 
Unaambiwa mifumo ya ulinzi ya hiyo nyumba ya Bakresa imeunganishwa moja kwa moja na mifumo ya usalama ya CIA huko Langley, Virginia USA... Kukitokea hata mwanga anapita usiku kutaka kumloga Mzee Bakresa basi lazima alarm iite kwenye simu ya mkurugenzi mkuu wa CIA, ambapo yeye huziamrisha ndege za kivita zisizo na rubani (drones) kuwa tayari kwa lolote. Hizo ndege huwa zimepaki pwani ya Afrika Mashariki maalum kwa kumlinda Bakresa... kilichonishangaza ni ule mfumo wa ulinzi unaoweza kunusa hatari kupitia joto la mwili na mapigo ya moyo kwa yeyote mwenye nia mbaya ndani ya nyumba ya mzee. Mtaalamu wa ulinzi alisema waliweka huo mfumo kudhibiti udokozi
Like seriously 🤔
 
Back
Top Bottom