Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Jumba la Tajiri Bakhresa lililopo Fumba Town

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.

25C9E3D5-08BE-4A8C-8F7A-3B08FC0F89E8.jpeg
 
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.

MashaAllah. Barakallah
 
Popote Ulaya tatizo ni pesa.
Mzee wetu hana makuu ila anaishi sana. Hili ndilo hekalu lake lililopo hapo Fumba Town.

Ni moja ya makazi rasmi ya mfanyabiashara Said Salim Awadh Bakhressa.

Jumba hilo lenye thamani ya Tshs Bilioni 30, lina kila kitu ambacho mwanadamu angetaka kutumia.

Lina vyumba vya kutosha vya kuishi, swimming pool, gym, vyumba vya kisasa vya mikutano, maktaba, Parking, Eneo la kutosha la kubarizi upepo, Vyumba vya ibada nk

Nakupa maua yako Bakhresa ingali uko hai, na hauna kelele hata kidogo.


Tutafuteni hela jamani
 
Baadhi ya kauli ya ambao hatujapata pesa ..
1.pesa inanunua nyumba ila pesa hainunui usingizi
2.Hata uwe na mali kiasi gani hutazikwa nayo
3.Pesa inanunua chakula ila hainunui hamu ya kula
HAYA TUENDELEZE ZINGINE KWA COMMENT
 
Back
Top Bottom