The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Aaah hapana nakataa....Kuna ndugu yangu kaajiriwa hapo juzi analipwa 2.3MZamani walikuwa wanawalipa si chini ya milioni 2 ili kuwavutia ila sasa na uhaba huu wa ajira. Hata milioni hawalipwi kwa waajiriwa wapya
Vipi umeyawaza maisha/uhai ambao unaokolewa na hao madaktari?, umewaza thamani ya uhai wa mtu?. Thamani ya hiyo taaluma haipo kwa mtaaluma pekee bali jamii na taifa.Kwahiyo inakuwa around 45 millions.
Ni mjinga pekee atatoa hiyo pesa ili mwanae aajiriwe kwa shida na kulipwa milioni 1.
Ikumbukwe pia mtaani kuna madaktari waliokosa ajira , wamekwenda private wanalipwa laki 6 , laki 7 au pungufu. Na kupata huko private mpaka uunganishwe.
Mgambo miezi 5 bure Mwembeyanga ukipata ajira Bandari kama mlinzi mshahara wako unamzidi Daktari.
Vijana machaguo ni yenu
Serikali ingelipia 100% ya gharama za masomo kwa watu wa afya . Serikali ndiyo inapaswa kuonyesha kujali.Vipi umeyawaza maisha/uhai ambao unaokolewa na hao madaktari?, umewaza thamani ya uhai wa mtu?. Thamani ya hiyo taaluma haipo kwa mtaaluma pekee bali jamii na taifa.
Dhumuni la elimu ni kuikomboa jamii sio kuwa tajiri mbinafsi. Haina maana kuwa tajiri na afya mbovu au kuwa tajiri na jamii yako ni hohehahe.
Kaajiriwa siku hizi au zamani?Aaah hapana nakataa....Kuna ndugu yangu kaajiriwa hapo juzi analipwa 2.3M
Kuna uhaba wa uelewa jumu JF, jamaa kauliza swali alafu wewe badala ya kujibu unamnanga kwa upeo wake!.With due respect...Una upeo mdogo sana!
wakati hiyo ni ada ya mwaka mmmoja vyuo vya maana US na CanadaView attachment 2893856
Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250
Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo
Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?
TMJ ni wap mkuu?Zamani walikuwa wanawalipa si chini ya milioni 2 ili kuwavutia ila sasa na uhaba huu wa ajira. Hata milioni hawalipwi kwa waajiriwa wapya
Sijajua Worth it anamaanisha Nini?Madaktari mje kutupa muongozo DR Mambo Jambo
Mwaka janaKaajiriwa siku hizi au zamani?
duh kumbe mshahara wa daktari bingwa ndo mdogo hivyo??? Mi nlkuwa naskia wanalipwa 8M+Sijajua Worth it anamaanisha Nini?
Kwamba Elimu atakayopata Ni nzuri au Elimu ni mbovu hapo kairuki..
Kwa Uelewa wangu Mdogo chuo.cha Kairuki ni chuo Cha private Tanzania Chenye Ada Ndogo kuliko vyote katika maswala.ya Udaktari..
Udaktari Ni wito kutoka Ndani..
Investiment ya Udaktari kwa daktari mmoja Ni kubwa kuliko Mshahra wake..
Daktari sio Mshahara daktari ni Moyo wa Huruma Compassion within...
Hata kama Una knowledge kubwa ya Udaktari lakini ukawa una ukatiri Bado utakuwa ni Muuaji uliyejivika Vazi la Proffesionalism..
Kwa mfano Mwingine ili kumaliza Udaktari lazma uwe na Si chini ya 40Milion
Na bado kwa wale watakaoamua kwenda residents (Kusomea ubingwa) ni zaidi ya hizo tuseme uwe na 60Milion..
Ila mshahara wa Dakatri bingwa Ni hauzidi 2.5mil kwa mwezi basic salary..
Na bado mambo yakienda vibaya Atapata Lawama na laana kwa panxe zote mbili serkali na Jamii..
Udaktari ni wito..
Ukiona mtu anaulizia Benefit kwenye kusoma Udaktri Hafai kuwa Daktari hata kwa k
Hoja nzuri hii mkuu maana vijana wanaingia kusaka elimu chuoni kichwani wakiwaza mshahara na ndio maana wanaangalia ela iliyotumika vs manufaa yatakayopatikana in term of cash. Other benefit ambazo hazionekani Kwa macho kwao haiwahusu.Sijajua Worth it anamaanisha Nini?
Kwamba Elimu atakayopata Ni nzuri au Elimu ni mbovu hapo kairuki..
Kwa Uelewa wangu Mdogo chuo.cha Kairuki ni chuo Cha private Tanzania Chenye Ada Ndogo kuliko vyote katika maswala.ya Udaktari..
Udaktari Ni wito kutoka Ndani..
Investiment ya Udaktari kwa daktari mmoja Ni kubwa kuliko Mshahra wake..
Daktari sio Mshahara daktari ni Moyo wa Huruma Compassion within...
Hata kama Una knowledge kubwa ya Udaktari lakini ukawa una ukatiri Bado utakuwa ni Muuaji uliyejivika Vazi la Proffesionalism..
Kwa mfano Mwingine ili kumaliza Udaktari lazma uwe na Si chini ya 40Milion
Na bado kwa wale watakaoamua kwenda residents (Kusomea ubingwa) ni zaidi ya hizo tuseme uwe na 60Milion..
Ila mshahara wa Dakatri bingwa Ni hauzidi 2.5mil kwa mwezi basic salary..
Na bado mambo yakienda vibaya Atapata Lawama na laana kwa panxe zote mbili serkali na Jamii..
Udaktari ni wito..
Ukiona mtu anaulizia Benefit kwenye kusoma Udaktri Hafai kuwa Daktari hata kwa kunusa tu
Hapana Mkuu Daktari Bingwa Anaanza na Mshahara wa TGHS G ambao ni sawa na Tsh 2,270,000/ Basic..duh kumbe mshahara wa daktari bingwa ndo mdogo hivyo??? Mi nlkuwa naskia wanalipwa 8M+
Wabongo kwa kulialia tuKwa hiyo hamtaki kuwa na madaktari wa kutosha?
Hamtaki kugundua mambo katika utabibu?
Mnaishia kufikiria mshahara tu?
Kwani lazima mtu mwenye ujuzi wake afanye kazi Tanzania?
Kwa taarifa yenu hiyo ada ukiiweka katika viwango vya kimataifa ni ndogo sana, tatizo uchumi wenu mdogo tu.
Kwenda medical school kwa ada ya milioni 6.4 kwa mwaka itakuwa ni kati ya ada rahisi kabisa duniani. Kuna watu wanalipa zaidi ya ada hiyo kusomesha watoto shule ya msingi tu. Hapo hapo Tanzania.
Kuna nchi hiyo ni ada ni robo ya ada ya mwaka mmoja tu.
Ukisomea udaktari lenga eneo ambalo unajua kuna uhitaji. We unaenda somea udaktari wa kutoa dawa kitu ambacho kwa sasa hata watu wa pharmacy wanafanya?Kwahiyo inakuwa around 45 millions.
Ni mjinga pekee atatoa hiyo pesa ili mwanae aajiriwe kwa shida na kulipwa milioni 1.
Ikumbukwe pia mtaani kuna madaktari waliokosa ajira , wamekwenda private wanalipwa laki 6 , laki 7 au pungufu. Na kupata huko private mpaka uunganishwe.
Mgambo miezi 5 bure Mwembeyanga ukipata ajira Bandari kama mlinzi mshahara wako unamzidi Daktari.
Vijana machaguo ni yenu
It is worth it elimu ni gharama mkuuView attachment 2893856
Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250
Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo
Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?
Si ndo maana mnapewa gredi za juu kuliko vyuo vingine vya taaluma yenu .. ilhali walimu wanatoka kwenye hivyo vyuo vingine...View attachment 2893856
Jumla ya Ada kwa Miaka yote mitano: 32,769,250
Tukumbuke hiyo ni ada tu haijajumlisha gharama za chakula, hostel, stationary, na mengineyo
Swali langu kwa mliosoma ama kusomesha watoto wenu degree ya udaktari Kairuki Is it worth it ?