Madaktari mje kutupa muongozo
DR Mambo Jambo
Sijajua Worth it anamaanisha Nini?
Kwamba Elimu atakayopata Ni nzuri au Elimu ni mbovu hapo kairuki..
Kwa Uelewa wangu Mdogo chuo.cha Kairuki ni chuo Cha private Tanzania Chenye Ada Ndogo kuliko vyote katika maswala.ya Udaktari..
Udaktari Ni wito kutoka Ndani..
Investiment ya Udaktari kwa daktari mmoja Ni kubwa kuliko Mshahra wake..
Daktari sio Mshahara daktari ni Moyo wa Huruma Compassion within...
Hata kama Una knowledge kubwa ya Udaktari lakini ukawa una ukatiri Bado utakuwa ni Muuaji uliyejivika Vazi la Proffesionalism..
Kwa mfano Mwingine ili kumaliza Udaktari lazma uwe na Si chini ya 40Milion
Na bado kwa wale watakaoamua kwenda residents (Kusomea ubingwa) ni zaidi ya hizo tuseme uwe na 60Milion..
Ila mshahara wa Dakatri bingwa Ni hauzidi 2.5mil kwa mwezi basic salary..
Na bado mambo yakienda vibaya Atapata Lawama na laana kwa panxe zote mbili serkali na Jamii..
Udaktari ni wito..
Ukiona mtu anaulizia Benefit kwenye kusoma Udaktri Hafai kuwa Daktari hata kwa kunusa tu